正在加载视频...
视频加载失败
Mimi hii ningeweka moyoni .
12 条评论

Kabla ya kuongea Chochote hakikisha kuwa ulimi wako umeunganishwa ipasavyo kwa ubongo wako na vinafanya Kazi Kwa pamoja 😁

this one is such a vibe

Hawa ndo walikuwa wanataka kuiondoa ccm?😂😂😂😂😂

Eti

Simshangai yeriko, namshangaa mbowe kuwa karibu na watu kama Hawa. Hawa ndio washauri wake

Mimi naamini hakuna somo kubwa la kuchunga ulimi na uchawa kama ilivyo watokea jamaa na wapambe wa Jiwe baada ya maafa , kama kuna mwanasiasa hakujifunza pale , hatakaa ajifunze tena

Machinery ya Chama

A FEW MOMENT LATER......

Muhimu sana kuweka akiba ya maneno. Hata kama kujilipua kuna wakati kunalipa

Nikimskiliza hizi week mbili tatu za mwaka huu 2025, halafu nakumbuka nilisoma kitabu chake mpaka nikakimaliza, kwa kweli mwili unaisha nguvu

Mstaafu alishindwa kabisa kuwakemea hawa watu wazembe? Kwa nini aliruhusu watu kama hawa wasiochagua cha kusema wawe karibu naye?

Maana yake walikua na baraka zake, toka mwanzoni walitangaza vita
