Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Mimi hii ningeweka moyoni .

89,540 views • 1 year ago •via X (Twitter)

12 Comments

Daktari Wa Manesi 💉💊's profile picture
Daktari Wa Manesi 💉💊1 year ago

Kabla ya kuongea Chochote hakikisha kuwa ulimi wako umeunganishwa ipasavyo kwa ubongo wako na vinafanya Kazi Kwa pamoja 😁

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

this one is such a vibe

jitu la kale's profile picture
jitu la kale1 year ago

Hawa ndo walikuwa wanataka kuiondoa ccm?😂😂😂😂😂

Lubasha Jr's profile picture
Lubasha Jr1 year ago

Eti

J's profile picture
J1 year ago

Simshangai yeriko, namshangaa mbowe kuwa karibu na watu kama Hawa. Hawa ndio washauri wake

Eng Octavian Lasway's profile picture
Eng Octavian Lasway1 year ago

Mimi naamini hakuna somo kubwa la kuchunga ulimi na uchawa kama ilivyo watokea jamaa na wapambe wa Jiwe baada ya maafa , kama kuna mwanasiasa hakujifunza pale , hatakaa ajifunze tena

Jebra Kambole's profile picture
Jebra Kambole1 year ago

Machinery ya Chama

CHINGA's profile picture
CHINGA1 year ago

A FEW MOMENT LATER......

Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿's profile picture
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿1 year ago

Muhimu sana kuweka akiba ya maneno. Hata kama kujilipua kuna wakati kunalipa

Pastore's profile picture
Pastore1 year ago

Nikimskiliza hizi week mbili tatu za mwaka huu 2025, halafu nakumbuka nilisoma kitabu chake mpaka nikakimaliza, kwa kweli mwili unaisha nguvu

Christian Bwaya's profile picture
Christian Bwaya1 year ago

Mstaafu alishindwa kabisa kuwakemea hawa watu wazembe? Kwa nini aliruhusu watu kama hawa wasiochagua cha kusema wawe karibu naye?

Lubasha Jr's profile picture
Lubasha Jr1 year ago

Maana yake walikua na baraka zake, toka mwanzoni walitangaza vita

Related Videos