Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Miziki ya Miziki #CombinationImerudi

51,629 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Dullah_theKing🎧's profile picture
Dullah_theKing🎧1 year ago

Tuliimiss hii Sound pamoja na uwepo wa "Man Maji" Balaa

ozanee's profile picture
ozanee1 year ago

Tangu cinderella hadi sasa we ni mwamba🤣

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏1 year ago

Niko nasikiliza hapa kwa Earpods!! Kuna kinanda nakisikia hapa kwenye sikio langu la Kushoto... Yoo!! This Sound 🙌

Raphael Mheta's profile picture
Raphael Mheta1 year ago

Man maji

Mara finest's profile picture
Mara finest1 year ago

Nyie mamiziki tu linapokuja jambo la kujenga ustawi wa jamii kama uchaguzi nyie ni mastarehe tu dah!! My people's country mmekuaje kwan ni dhambi kutoa Maoni

I'M LIVING BLESSED's profile picture
I'M LIVING BLESSED1 year ago

Welcome back

John Kimea's profile picture
John Kimea1 year ago

🔥🔥🔥

YULE BOY😉's profile picture
YULE BOY😉1 year ago

Humu koffie au fally wangetisha sana

Sinza hood's profile picture
Sinza hood1 year ago

🔥🔥

Mrtrouble😵‍💫's profile picture
Mrtrouble😵‍💫1 year ago

Hii combo Kali sana Ali🔥

Related Videos

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) muziki wa singeli unashika na unakubalika maeneo mengi hadi nje ya nchi lakini pia ni muziki ambao asili yake ni Tanzania hivyo ametaka Watanzania kuwaunga mkono Wasanii wa singeli, kuusafisha muziki huo, kuwaelekeza bila ukali Wasanii wanapokosea ili kuufanya muziki huo uwe bora zaidi na utambulisho wa Taifa. Akiongea wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Mwinjuma amesema “Wabunge kadhaa hapa wameongea toka asubuhi kwa hisia nyingi kuelezea jinsi ambavyo kuna sintofahamu juu ya kwanza singeli kuwa muziki wa Taifa lakini halikadhalika maudhui yanayobebwa kwenye aina hii ya muziki, hakuna Mtu yoyote aliyesema mahali popote kwamba tunataka kuifanya singeli kuwa muziki wa Taifa” “Tuliona muziki huu umeshika na unakubalika maeneo mengi ikiweno nje ya nchi, Mimi binafsi nimewahi kwenye maonesho ya singeli nje ya nchi na muziki huu unafanya vizuri sana, ukweli ni kwamba hakuna Mtu yoyote kutoka sehemu nyingine yoyote Duniani anayeweza kuja kudai kwamba singeli ina asili ya nchini kwao, kimsingi singeli ina asili ya kutoka Tanzania” “Tulikuwa tunawasaidia Vijana hawa kuubrand muziki wa singeli na kuusafisha, uhuni unaosemwa upo kwenye singeli Mimi kama Mwanamuziki najua uhuni upo kwenye miziki yote na Vijana hawa wanahitaji maelekezo na sio kususwa kama ambavyo tunasema kwa ukali” #MillardAyoUPDATES

millardayo

31,382 views • 1 year ago