正在加载视频...

视频加载失败

34,437 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

7 条评论

Xarly 的头像
Xarly1 年前

Supprime

Thibault 的头像
Thibault1 年前

Gênant un peu le lobby du lait

Ven'Gir 的头像
Ven'Gir1 年前

@BouhDeTapis

Clément 的头像
Clément1 年前

@BlqColine

Berthe michael 的头像
Berthe michael1 年前

@soguichard

Leeeee.R 🇨🇮🏀 的头像
Leeeee.R 🇨🇮🏀1 年前

Dommage ton tweet est en retard

Berthi 🦭🥷 的头像
Berthi 🦭🥷1 年前

@kazuumavii

相关视频

ini yang dicari keteknya bersih wangi
0:33

Sensitive content

ini yang dicari keteknya bersih wangi

lisaa

86,067 次观看 • 1 天前

tante gue nih, senggol dong ~
0:47

Sensitive content

tante gue nih, senggol dong ~

Jozo Leniza INC

910,266 次观看 • 14 天前

Revina kelihatan 👀
0:24

Sensitive content

Revina kelihatan 👀

Penyejuk Beranda

3,521,084 次观看 • 9 天前

Kati ya mambo yaliyoniumiza sana nilipokuwa ugenini, moja kubwa lilikuwa ni wimbo wa “Aiyaiya CHADEMA.” Watu wengi hawajui kwamba wimbo huo niliutunga mimi mwenyewe. Mwanzoni haukuwa wimbo wa kitaifa wa chama; uliandaliwa mahsusi kwa ajili ya kampeni yangu ya ubunge wa Iringa Mjini mwaka 2020. Niliwaomba vijana wa kanisani kwangu wauimbe, na kwa pamoja tukaunda wimbo uliobeba matumaini na ari ya mabadiliko kwa wananchi wa Iringa. Sikutegemea hata kidogo kwamba ungependwa kwa kiwango kikubwa namna ile. Polepole ukaanza kuvuka mipaka ya jimbo letu. Baada ya Mheshimiwa Tundu Lissu kuteuliwa kuwa mgombea urais wa CHADEMA, baadhi ya viongozi na wanachama waliniomba niuongeze ubora wake ili uwe wimbo wa kitaifa, ukibeba majina ya Mwenyekiti wa chama wa wakati huo, mgombea urais na mgombea mwenza. Ndipo wimbo ukapata maisha mapya. Ukawa zaidi ya wimbo wa kampeni za Iringa Mjini; ukawa sehemu ya kumbukumbu na hisia za harakati za Watanzania wengi. Nilipokuwa upande mwingine wa kisiasa, kila nilipousikia wimbo huu, niliguswa sana. Haukuwa tu muziki; ulikuwa ukinikumbusha safari niliyopitia, watu tuliotembea pamoja, na ndoto tulizowahi kuziamini kwa moyo mmoja. Ilikuwa ni hisia ambazo ni vigumu kuzielezea kwa maneno. Leo ninafurahi kuona kwamba wimbo huu haujapoteza mvuto wake. Bado unaimbwa. Bado unawagusa watu. Bado unaishi mioyoni mwa wengi. Kwangu, hilo ni ukumbusho kwamba kazi inayofanywa kwa moyo wa kweli inaweza kuishi muda mrefu kuliko mazingira yaliyoiunda. Nilipoutunga ulikuwa wa Iringa Mjini. Leo umekuwa sehemu ya historia ya harakati za wengi. Na hilo ni jambo la kumshukuru Mungu.

Peter Msigwa

43,422 次观看 • 1 个月前