Loading video...
Video Failed to Load
Mtamaaaaaaaaaaaaaaa๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐ช๐ฝ๐ช๐ฝ๐ช๐ฝ๐ช๐ฝ๐ช๐ฝ๐ช๐ฝ
20,986 views โข 1 year ago โขvia X (Twitter)
11 Comments

Another 5 years of extremely poverty for Mtama people๐

- All I Knew

Kwani wananchi wa Mtama wote wanavazi la CCM?, maana mikutano ya CDM sioni rangi rangi, "Wamwiduka Band - Kilingeni".

Kumbe hii ndio nguvu ya ccm Ndio mana wanakuwa na jeuri sana

Ngoja uone @ACTwazalendo jinsi watakavyokunyoosha kumbuka bado wanataka kumuenzi Kachero Mbobefu B.K.Membe Uganda wa kusini @AdoShaibu @SemuDorothy @Ndolezi_Petro @juliusmassabo @Mbaralagande Kwa heshima na Taadhima kamyoosheni huyu Boya kwani hata @ccm_tanzania hawamtaki

Naona kijani tupu. Kwani wananchi wakawaida tofauti na wanachama wanakuwaga wapi?

Mmetumia Malory mangapi mheshimiwa kuwasomba hao binadam? Nasikia mtama wote wamekubaliana kwamba #NoReformsNoElection

Na uchaguzi huru utaki, Unafanya UHAINI upite bila kupingwa.

Mzee wakuiba kura usihangaike nawiz wakura chadema tumejiondoa

Hamna vibe, washiriki wamepewa sare, watu sio wengi kivile ukilinganisha na mkusanyiko wa cdm. Kuna kazi kubwa ya kufanya. Una haki ya kuwa na hofu

Hapa kila kichwa kinaondoka na Bei gan Muheshimiwa!?
