Loading video...
Video Failed to Load
Muelezee mwanamke kwa neno moja tu 😁
34,184 views • 1 year ago •via X (Twitter)
9 Comments

Hata alipomwambia anarudia mara 5 alidanganya, alirudia mara 4 Tu.

Baba aliwah kuniambia kwenye zile Amri kumi ongeza hii "usimwamini Mwanamke".

Nina hakika mwanamke alikuwa mjumbe kwenye kikao kilichofanyika Mwanzo 1:26. Mwanamke hata akipewa kiberiti achome dunia anachoma haijaalishi na yeye yumo.

#NoReformsNoElection🇹🇿✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️ #NoReformsNoElection🇹🇿 ✌️

Linavyotoa macho Sasa ashindwi kukunyonya damu huyu...macho yanawaka kama chemli

Nyerere alimaliza kuhusu wanasiasa wa aina hii. Jambo zuri ni kwamba Watanzania wengi wameshafanya maamuzi,ni suala la muda tu.

Kutokuwa na msimamo kwenye mambo ya siasa ni kiashiria cha kutokuwa na msimamo katika mambo ya MAHUSIANO ....(yeyote)

Mamaeee somo la hawa viumbe huwezi fuzu hata usome karne na karne

Nampenda huyu mwandishi wa habari. Ni kama alikuwa na hisia kwamba anadanganywa. Sasa wananchi mtaamua kama mnataka kumchagua mbunge muongo au la.
