正在加载视频...

视频加载失败

40,050 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

Ivan Aijuka 的头像
Ivan Aijuka1 年前

Congratulations & we are waiting another recruitment.ready to go through.

Solar Heavy 的头像
Solar Heavy1 年前

does this represent Miami?

Burna 的头像
Burna1 年前

Exactly

Not Today 的头像
Not Today1 年前

He has a lot to prove, he has a right to earn a chance through us democratically, and we will hear his alternative and judge him based on that. We hope for secure borders, inclusivity, unpolarised politics, and competence based advantage. We say no to mockery of our state.

Julius Kayz 的头像
Julius Kayz1 年前

Fredie ogwo mwenge Ogwo mwenge fredie in bobiwine’s voice

мвσηιgαвα ѕтєρнєη 的头像
мвσηιgαвα ѕтєρнєη1 年前

Alaibika mwenge mwerere

#Mr.MayorWakiso #Realtor 👊 的头像
#Mr.MayorWakiso #Realtor 👊1 年前

get amunyankole jocker nigga

𝕯𝖗𝖊 𝕸𝖚𝖌𝖆𝖒𝖇𝖊🫆 的头像
𝕯𝖗𝖊 𝕸𝖚𝖌𝖆𝖒𝖇𝖊🫆1 年前

🤣

The Ugandan vigilant 的头像
The Ugandan vigilant1 年前

Just know karma is real

Tumukunde Ismail 的头像
Tumukunde Ismail1 年前

Afude

common man 的头像
common man1 年前

But I think mk is a civil servant

相关视频

"Mimi nilikuwa bungeni miaka kumi, ni mchaga, si mlisikia Spika (Job Ndugai) alisema nilikopa hela kwamba nina stress ya madeni? Mimi nilienda kule nikakwarua zote kwasababu nilijua wale wasela hawachelewi kubadilisha sera halafu nikapoteza kiinua mgongo, nikawalia timing palepale nikaenda kwa Mtunza hazina, akaniambia ninaweza kukopa mpaka milioni 300 nikamwambia leta, akaniambia kuna nyingine naweza kopa Milioni 150, nikachukua, wanakuja kushtuka wale wamenikopesha ziada Milioni 200, ikawa kama Milioni 600 hivi, wanakuja kuangalia kwenye akaunti wanakuta sifuri." "Ndugai alimind sana, Ndugai akanifukuza bungeni mwaka ili wasinilipie marejesho ili vitu viuzwe na baadae benki wakaniandikia barua ya kutaka kushikilia vitu vyangu kwani Bunge limekataa kunilipia, nikawajibu nikiwataka watafute muda na saa niwatembeze kwenye mali zangu wachague wanazozitaka ili waunganishe na mkopo wao, nikishindwa kulipa wauze." "Ndugai akanitangaza kuwa nina stress, nina presha ya madeni, nikasema poa, na kwenye akaunti hawazioni maana zilipita tu. Wakanifukuza bunge mwaka, Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu akaniambia Magufuli anataka niwe Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM na watanilipia madeni yangu yote! Nikasema sitaki, mimi sio Blueband. Wakaniambia vitu vyangu vitauzwa? Nikawaambia vitauzwaje wakati mimi mchaga? Nitaendesha hata Haice. Sasa nikatoroka kwenda Canada, nikarudi, sina deni, Ndugai kafa, Magufuli kafa na Bashiru sio Katibu Mkuu tena, huyo sio Mungu?" "Sasa ndugu zangu tukitoka hapa tunarudi Ifakara, kama watekaji wapo hapa tutaanza safari muda sio mrefu kwahiyo wanaweza kukaa katikati hapo porini ila nawaonya Mungu wangu mimi ni kiboko mtakufa! Kama umepewa dili la utekaji hilo dili likatae utakufa na aliyekutuma atakufa, hatutaki mazishi wiki hii."Godbless Lema, Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara, Mlimba Mkoani Morogoro leo Juni 18, 2026.

Royal Media

19,786 次观看 • 3 天前

!!!BANG BANG BANG!!! #sonexe
0:35

Sensitive content

!!!BANG BANG BANG!!! #sonexe

mushi☕

283,372 次观看 • 2 个月前