Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Ndio mambo yalikua hivi 🤔

51,273 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von Breaking point..⛓️‍💥⛓️‍💥⛓️‍💥☣️
Breaking point..⛓️‍💥⛓️‍💥⛓️‍💥☣️vor 1 Jahr

Ilikuwa ni haki yao kulamba ule umeme maana mauza uza yalikuwa mengi sana.🤣🤣

Profilbild von B_rabbit
B_rabbitvor 1 Jahr

Alafu anakuja mjinga anasema 15'+ ni nyingi

Profilbild von TOUGH LIKE TOPHER
TOUGH LIKE TOPHERvor 1 Jahr

Woye wanaolalamika walisubiri tupoteze point wafurahi gape la kuwafukuzia timu yao like kubwa...unadhani wangekua wameshatangazwa kuwa mabingwa wangelalamika...akili ku mkichwa...

Profilbild von iamsisco
iamsiscovor 1 Jahr

mchezo wa soka ukishaudhalau namna hii lazima ukuumize mwisho wa siku

Profilbild von Solar Heavy
Solar Heavyvor 1 Jahr

you never heard this before

Profilbild von Denzo
Denzovor 1 Jahr

Halafu wanalalamika shubamit

Profilbild von Jibe Jr🇹🇿
Jibe Jr🇹🇿vor 1 Jahr

Upuuzi kama huu bado kuna wapuuzi wanataka kuendekeza ,na huyo ni mmoja tu ,yalifanyika hayo zaidi ya mara 4

Profilbild von alex mheta
alex mhetavor 1 Jahr

Ushawahi kuona wapi kipa anaomba kutibiwa anapewa kadi je angejiangusha si angepewa na makofi

Profilbild von Mchachu, PhD🐐
Mchachu, PhD🐐vor 1 Jahr

@SadahMsangi hii umeiona?

Profilbild von Abd Bosko
Abd Boskovor 1 Jahr

Semaji @ahmed__ally wale wanaolalamikia muda hii hawajaiona au?

Ähnliche Videos