Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ndio mambo yalikua hivi 🤔
10 Kommentare

Ilikuwa ni haki yao kulamba ule umeme maana mauza uza yalikuwa mengi sana.🤣🤣

Alafu anakuja mjinga anasema 15'+ ni nyingi

Woye wanaolalamika walisubiri tupoteze point wafurahi gape la kuwafukuzia timu yao like kubwa...unadhani wangekua wameshatangazwa kuwa mabingwa wangelalamika...akili ku mkichwa...

mchezo wa soka ukishaudhalau namna hii lazima ukuumize mwisho wa siku

you never heard this before

Halafu wanalalamika shubamit

Upuuzi kama huu bado kuna wapuuzi wanataka kuendekeza ,na huyo ni mmoja tu ,yalifanyika hayo zaidi ya mara 4

Ushawahi kuona wapi kipa anaomba kutibiwa anapewa kadi je angejiangusha si angepewa na makofi

@SadahMsangi hii umeiona?

Semaji @ahmed__ally wale wanaolalamikia muda hii hawajaiona au?
Ähnliche Videos
Motorists beware...hivi ndio mnakuwa targeted Kwa jam…Kaa Rada!
Kaa Rada
25,040 Aufrufe • vor 10 Tagen
