ๆญฃๅจๅ ่ฝฝ่ง้ข...
่ง้ขๅ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ
Ndomana wanasema muwahi nusu saa kabla ๐๐
100,301 ๆฌก่ง็ โข 1 ๅนดๅ โขvia X (Twitter)
10 ๆก่ฏ่ฎบ

Kama kuna kitu WaTanzania wanatakiwa kujibunia ni TRENI ya SGR kuzingatia muda! Hakuna shirika la ndege duniani linashida standards za SHR ya Tanzania kwa kujali muda.

Saana

Huyu ametupanga mzee ๐๐๐

๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃakili hana hasa angekimbiza mpaka wapi? na hivi treni halina side mirror?

Achukue boda haifukuzie kituo kinachofuata

๐๐

Jamaa kasahau kuel edit kipande cha mwisho anachosema ushaipata hiyo ๐๐๐๐ซต๐พ

huyo mpuuzi kwanza aombe radhi @tzrailways maana hakuna treni inaondoka ikiwa milango wazi. Hapo hiyo treni itakuwa ilikuwa imeshuaha abiria na ilikuwa inahamishwa kutoka njia moja kupisha treni nyingine. hawa wasanii uchwara watafuta content wajifunze kuigiza kwa uhalisia

Kuwahi ni Muhimu ๐ SEMA sisi ndo hivo Tena

Saana
