Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

59,025 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

KIDUKU's profile picture
KIDUKU1 year ago

Hili La VAR Lilikua Pigo La KISAIKOLOJIA Kwa KIGAILA Hakutegemea Kama VAR Ingekuwepo Hii Namna Pekee Yakudili Na Madalali Wa Siasa Kama Kigaila😂😂

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

space meets sound

Innocent Makauki's profile picture
Innocent Makauki1 year ago

Kigaila anasema #NoReformsNoElection ni azimio la chama na kamati kuu, Mrema anasema sio maamuzi ya chama. Full kuvurugana wachawi wakubwa hawa.

La la la la laaa's profile picture
La la la la laaa1 year ago

Siasa ni watu, uchaguzi wa chama umeisha uongozi unaanza kushawishi watu kwamba hakuna uchaguzi watu ghafla linaibuka kundi la uongozi wa zamani linaanza kupinga ajenda likidai hakuna mkakati, kwa watu wanaojua siasa vichocheo ni vitatu usaliti, fedha na hasira ya kushindwa.

GURU's profile picture
GURU1 year ago

🤣🤣🤣 Alikuwa kama kafumaniwa na anaona Wana wako na mafuta Yao kabisa 🤣

carlos pills's profile picture
carlos pills1 year ago

Kibaka huyo ndg zangu tulichelewa kuwajua na wakawa wako ofisini wakila kodi zetu .

DANIEL WILSON's profile picture
DANIEL WILSON1 year ago

Kweli huyu Odimba anahojikwakukagua maneno yako mpaka usoni anakugaua kama uko sirias

Gilbert Mwansasu's profile picture
Gilbert Mwansasu1 year ago

Hizi VAR ziendelee kutumika, waandishi wa habari wajifunze kutoka kwa mtaalamu @chiefodemba

Joblube4's profile picture
Joblube41 year ago

Kigaila uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo sana ndio maana huyu ni bidhaa kwa kwa Kijani mwanasiasa malayamalaya -Nyerere🚮

Ahmed Katakweba's profile picture
Ahmed Katakweba1 year ago

Twaha, Paramus hapo

Edward Kaniki's profile picture
Edward Kaniki1 year ago

Nimekumbuka watani zangu na kale kamsemo kao gusa achia twende kwao 😂😂😂😂

Related Videos