Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
ODEMBA KATUMIA V. A.R
59,027 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Hili La VAR Lilikua Pigo La KISAIKOLOJIA Kwa KIGAILA Hakutegemea Kama VAR Ingekuwepo Hii Namna Pekee Yakudili Na Madalali Wa Siasa Kama Kigaila😂😂

space meets sound

Kigaila anasema #NoReformsNoElection ni azimio la chama na kamati kuu, Mrema anasema sio maamuzi ya chama. Full kuvurugana wachawi wakubwa hawa.

Siasa ni watu, uchaguzi wa chama umeisha uongozi unaanza kushawishi watu kwamba hakuna uchaguzi watu ghafla linaibuka kundi la uongozi wa zamani linaanza kupinga ajenda likidai hakuna mkakati, kwa watu wanaojua siasa vichocheo ni vitatu usaliti, fedha na hasira ya kushindwa.

🤣🤣🤣 Alikuwa kama kafumaniwa na anaona Wana wako na mafuta Yao kabisa 🤣

Kibaka huyo ndg zangu tulichelewa kuwajua na wakawa wako ofisini wakila kodi zetu .

Kweli huyu Odimba anahojikwakukagua maneno yako mpaka usoni anakugaua kama uko sirias

Hizi VAR ziendelee kutumika, waandishi wa habari wajifunze kutoka kwa mtaalamu @chiefodemba

Kigaila uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo sana ndio maana huyu ni bidhaa kwa kwa Kijani mwanasiasa malayamalaya -Nyerere🚮

Twaha, Paramus hapo

Nimekumbuka watani zangu na kale kamsemo kao gusa achia twende kwao 😂😂😂😂

