正在加载视频...

视频加载失败

Pahahahaha!!!!

22,298 次观看 • 11 个月前 •via X (Twitter)

3 条评论

Jezičara 的头像
Jezičara11 个月前

nikad lepsi snimak iz Strazilovske 👌🏻

Jelena 的头像
Jelena11 个月前

Ovo je cirkus, a ne država!

radovi_u_toku 的头像
radovi_u_toku11 个月前

Ne razumem sta je bilo. Policija ih fopratila do faksa, studenti nisu ušli u fakultet vec krenuli da trče?

相关视频

!!!BANG BANG BANG!!! #sonexe
0:35

Sensitive content

!!!BANG BANG BANG!!! #sonexe

mushi☕

283,372 次观看 • 2 个月前

"Mimi nilikuwa bungeni miaka kumi, ni mchaga, si mlisikia Spika (Job Ndugai) alisema nilikopa hela kwamba nina stress ya madeni? Mimi nilienda kule nikakwarua zote kwasababu nilijua wale wasela hawachelewi kubadilisha sera halafu nikapoteza kiinua mgongo, nikawalia timing palepale nikaenda kwa Mtunza hazina, akaniambia ninaweza kukopa mpaka milioni 300 nikamwambia leta, akaniambia kuna nyingine naweza kopa Milioni 150, nikachukua, wanakuja kushtuka wale wamenikopesha ziada Milioni 200, ikawa kama Milioni 600 hivi, wanakuja kuangalia kwenye akaunti wanakuta sifuri." "Ndugai alimind sana, Ndugai akanifukuza bungeni mwaka ili wasinilipie marejesho ili vitu viuzwe na baadae benki wakaniandikia barua ya kutaka kushikilia vitu vyangu kwani Bunge limekataa kunilipia, nikawajibu nikiwataka watafute muda na saa niwatembeze kwenye mali zangu wachague wanazozitaka ili waunganishe na mkopo wao, nikishindwa kulipa wauze." "Ndugai akanitangaza kuwa nina stress, nina presha ya madeni, nikasema poa, na kwenye akaunti hawazioni maana zilipita tu. Wakanifukuza bunge mwaka, Bashiru Ally aliyekuwa Katibu Mkuu akaniambia Magufuli anataka niwe Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM na watanilipia madeni yangu yote! Nikasema sitaki, mimi sio Blueband. Wakaniambia vitu vyangu vitauzwa? Nikawaambia vitauzwaje wakati mimi mchaga? Nitaendesha hata Haice. Sasa nikatoroka kwenda Canada, nikarudi, sina deni, Ndugai kafa, Magufuli kafa na Bashiru sio Katibu Mkuu tena, huyo sio Mungu?" "Sasa ndugu zangu tukitoka hapa tunarudi Ifakara, kama watekaji wapo hapa tutaanza safari muda sio mrefu kwahiyo wanaweza kukaa katikati hapo porini ila nawaonya Mungu wangu mimi ni kiboko mtakufa! Kama umepewa dili la utekaji hilo dili likatae utakufa na aliyekutuma atakufa, hatutaki mazishi wiki hii."Godbless Lema, Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema akihutubia kwenye mkutano wa hadhara, Mlimba Mkoani Morogoro leo Juni 18, 2026.

Royal Media

19,786 次观看 • 3 天前