Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Pastor kafunguka!! 🤣
90,836 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Sio Pastor huyu na Maskini ya Mungu hajui hata Majukumu aliojivisha yalivyo sio ya mzaha. Agano la kale tofauti na Agano jipya. Mdo 17:30 "Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu".

mwamba hanaga kipengele labda uje nacho wewe😂😂

this one is truly a vibe

Sasa hapo utakua na wanawake wangapi wa kuoa? Ina maana hata hao wanne hawatoshi .Huyu anatuaminisha tuwe tunakula uroda na kusepa.'Hit and Run '

Huyu tapeli wa imani,mwanaume gani anabana pua? Mafundisho ya hovyo kabisa

"we si auna hela ngoja upate hela"😂😂 ameua apo

Mbona wanyama hawana tamaa ni uhuni tu unaweza kukaa na mke mmoja tendo la ndoa ni kwa ajili ya kuongeza dunia na sio starehe. Wacheni uzinzi ndio chanzo cha matatizo yote kama hutaki kuzaa ni marufuku tendo la ndoa !

PROUD TO BE MUSLIM.😂

It's clear massage

Sacrifice kabisa

@SaveMyVideo


