正在加载视频...
视频加载失败
Polisi wamemkamata tayari...
48,118 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
12 条评论

Tanzania Imekuwa kama US? mwamba kashika Bastola anamtishia mtu, Kwa sababu ana Cheo.. Oyaaa 🙆♂️🙆♂️🙆♂️ Wasikilize wazee wa Minyama... Video kwa Comments👇

Ebana...

Subtitle sasa😂😂🙌

Mbona kamanda MULIRO haja tuambia huyo deriki ana kitengo gani au kazi gani au anajihusisha na nini au yeye ni nani mwajiriwa wa wapi maana ina semekana nimfanya kazi au mwajiriwa kwenye shirika la kukusanya mapato ???

@tanpol hili ndo jesh la Tanzania tunalolitaka, na tunalotaman liwe hiv. Niwapongeze Sana. Ila niwaombe Sasa tupen majibu ya kina @Sativa255 Kna Soka nk, Tunaamin mnaweza ila mnaamua kuchekewa tu

Unajua @tanpol kama hawaoni hiv alietishia au alieanzisha mashambulizi maana video ipo wazi kazi na nasema tunataka hizi camera hadi barabarani watu tunatishiwa sana na tusio wajua yani nchi yetu na tunaonewa tumechoka.police muelewe hatutaki uonevu barabarani tanzania ya wote.

Kavideo basi tuone kama kweli

Kama sio camera ilikuwa imeisha hiyo.

Polisi washamba tu... Taarifa za Kiseng** mnafanya haraka kutoa majibu ...

Kwanza funga hiyo club wataingia vp na silaha

Michezo😂

Umemuonaaa...?
相关视频
“Chama cha Upinzani kilichokuwa tayari kwa Uchaguzi ni CHADEMA pekee”
Hilda Newton
13,658 次观看 • 10 个月前
