Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Prof. Janabi, Vile SUKARI Inakumaliza ⚠️

72,161 Aufrufe • vor 3 Jahren •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von GAZ
GAZvor 3 Jahren

Huyu doctor ukimsikiliza sana unaeza ukaacha hata kula 😂😂..kila kitu atasema kina sumu itafika mahali aseme kuongea kuna tanua moyo..

Profilbild von Seif Mselem
Seif Mselemvor 2 Jahren

Jana kwenye Foundation ya Prof Jay, Prof. Janabi Kaongelea Ishu Moja ya... "INTERMITTENT FASTING" Nikasema Hiki Kitu ndo Millambo Anakisema na Sisi Tunakaza MAFUVU yetu Kila siku. PS: Kadri Unavyozidi Kula Sana Ndivyo Unavyozidi Kuumwa.

Profilbild von 𝑩𝒂𝒃𝒂 𝑾𝒂 𝑽𝒊𝒋𝒂𝒏𝒂 🇮🇱|🇷🇺
𝑩𝒂𝒃𝒂 𝑾𝒂 𝑽𝒊𝒋𝒂𝒏𝒂 🇮🇱|🇷🇺vor 3 Jahren

Watu wanakunywa chai kwa kuwa ni Asubuhi hata kama mwili hauna njaa! 😭😭😅😅

Profilbild von Luqman Kisokora
Luqman Kisokoravor 3 Jahren

"Kula Unaposikia Njaa Na Ukila Usishibe Kupitiliza " ....

Profilbild von Given Mkonongo
Given Mkonongovor 3 Jahren

Samahani hivi K-vant ina sukari mtaalamu, nataka niwe nakunywa hio asubuhi😖

Profilbild von BACK BENCHA
BACK BENCHAvor 3 Jahren

Prof Namkubali, sana lakini anasemaga tukienda kwenye sherehe ukumbini tusiufinye mchele 🤣

Profilbild von projest amos
projest amosvor 3 Jahren

Ila maisha haya jmn ,unakuta badae Prof.Janabi naye anaweza akaugua diabetes ! Mungu tu atunusuru

Profilbild von DGK🔮
DGK🔮vor 3 Jahren

Mi ninachoelewa ukiweza kuovercome mucus in your body utaishii maisha marefu sana achana na haya ya sukari na machumvi

Profilbild von Daktari Wa Zamu, MD
Daktari Wa Zamu, MDvor 3 Jahren

Madaktari bingwa Wa Magonjwa Ya Ndani Wanajua Ukweli Mwingi kuhusu mwili, tunakula Sana Kwa Mazoea

Profilbild von A. u . T. o. M. a. T. i. K. i
A. u . T. o. M. a. T. i. K. ivor 3 Jahren

Balanced Diet lazima iwe na sukari na pia ni lazima ufurahie chakula unachokula ni moja la hitaji la mwanadamu. Ukiwa unakula chakula ukifurahii kuna madhara ya kiafya pia.

Ähnliche Videos