Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Qmmmmke๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

87,047 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

Nasisi's profile picture
Nasisi1 year ago

Kuna haja ya serikali kufundisha watu hii skills ya kuchapa. Huwezi mchapa mtu anachanganyinyikiwa hajui akimbie au akusogelee wote tujue kwamba Kuna wengine kwenye ugomvi huwa wanaitandika sio fair. Kama wamasai wanafundishwa tufundishwe wote

KIDUKU's profile picture
KIDUKU1 year ago

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

WHITESPIRIT's profile picture
WHITESPIRIT1 year ago

Ukiona masai kagombana ujue kachokozwa tena saaana.

Elgaffer ๐Ÿ's profile picture
Elgaffer ๐Ÿ1 year ago

Ila tukirudi kwenye ukweli, hawa wamasai kutembea na hizi silaha wanahatarisha usalama wa watu wengine, just imagine umepishana nae kauli katika hali ya kujibizana then akachomoa hiyo sime, msiba tunao hatuna? Najua watu wa utamaduni mtakuja kuwatetea hapa

bin jarufu's profile picture
bin jarufu1 year ago

Hizo fimbo za wamasai huwa special hazi vunjiki sema masai wameona amemchosha kumchapa ameona atumie sime kuokoa muda tu hataki ujinga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

The HR's profile picture
The HR1 year ago

Anakuchapa na fimbo, akiona adabu haijaingia anatoa rungu, akiona somo halijaeleweka anatoa sime. Jamaa ana bahati stage ya rungu ndiyo ilikuwa inafuata. Unachapwa na silaha inayolingana na kiwango chako cha madharau ๐Ÿ˜€

watakuja na wataenda's profile picture
watakuja na wataenda1 year ago

Yero alikuwa na backup ya rungu pia๐Ÿ˜€jamaa amekula za kichwa Kila akimsogelea anasukumwa nyuma aendelee kupokea dozi

LIQUIDATOR's profile picture
LIQUIDATOR1 year ago

Kala mikwaju ya maana dadeq๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Rock Paper Sizzle's profile picture
Rock Paper Sizzle1 year ago

๐Ÿ’ช Merica, we're taking it back. ๐Ÿ’ฏ You like Trump, you know it, time to show it. โœ… T's for Trump here:

Tao Te Ching's profile picture
Tao Te Ching1 year ago

Hapo mwili wote wamoto. Jioni akiwa anaoga ndio ataelewa kwanini maasai navaa shuka.

Anthonymaximo's profile picture
Anthonymaximo1 year ago

Apo kwenye sime ndo pangekua patamu bora wamemuwahi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Related Videos