ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Qmmmmke๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

87,047 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Nasisi ็š„ๅคดๅƒ
Nasisi1 ๅนดๅ‰

Kuna haja ya serikali kufundisha watu hii skills ya kuchapa. Huwezi mchapa mtu anachanganyinyikiwa hajui akimbie au akusogelee wote tujue kwamba Kuna wengine kwenye ugomvi huwa wanaitandika sio fair. Kama wamasai wanafundishwa tufundishwe wote

KIDUKU ็š„ๅคดๅƒ
KIDUKU1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

WHITESPIRIT ็š„ๅคดๅƒ
WHITESPIRIT1 ๅนดๅ‰

Ukiona masai kagombana ujue kachokozwa tena saaana.

Elgaffer ๐Ÿ ็š„ๅคดๅƒ
Elgaffer ๐Ÿ1 ๅนดๅ‰

Ila tukirudi kwenye ukweli, hawa wamasai kutembea na hizi silaha wanahatarisha usalama wa watu wengine, just imagine umepishana nae kauli katika hali ya kujibizana then akachomoa hiyo sime, msiba tunao hatuna? Najua watu wa utamaduni mtakuja kuwatetea hapa

bin jarufu ็š„ๅคดๅƒ
bin jarufu1 ๅนดๅ‰

Hizo fimbo za wamasai huwa special hazi vunjiki sema masai wameona amemchosha kumchapa ameona atumie sime kuokoa muda tu hataki ujinga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

The HR ็š„ๅคดๅƒ
The HR1 ๅนดๅ‰

Anakuchapa na fimbo, akiona adabu haijaingia anatoa rungu, akiona somo halijaeleweka anatoa sime. Jamaa ana bahati stage ya rungu ndiyo ilikuwa inafuata. Unachapwa na silaha inayolingana na kiwango chako cha madharau ๐Ÿ˜€

watakuja na wataenda ็š„ๅคดๅƒ
watakuja na wataenda1 ๅนดๅ‰

Yero alikuwa na backup ya rungu pia๐Ÿ˜€jamaa amekula za kichwa Kila akimsogelea anasukumwa nyuma aendelee kupokea dozi

LIQUIDATOR ็š„ๅคดๅƒ
LIQUIDATOR1 ๅนดๅ‰

Kala mikwaju ya maana dadeq๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Rock Paper Sizzle ็š„ๅคดๅƒ
Rock Paper Sizzle1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ’ช Merica, we're taking it back. ๐Ÿ’ฏ You like Trump, you know it, time to show it. โœ… T's for Trump here:

Tao Te Ching ็š„ๅคดๅƒ
Tao Te Ching1 ๅนดๅ‰

Hapo mwili wote wamoto. Jioni akiwa anaoga ndio ataelewa kwanini maasai navaa shuka.

Anthonymaximo ็š„ๅคดๅƒ
Anthonymaximo1 ๅนดๅ‰

Apo kwenye sime ndo pangekua patamu bora wamemuwahi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘