Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Safari zile za usiku -Msikilize
41,774 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)
10 Kommentare

100% uzembe wa drivers uzembe wa trafic na uzembe wa abiria umeleta maafa. Nilisema na nitarudia kusema safari za usiku bado sana nchi yangu huko Tz. Mtakufa nyie mno. Madereva wenye ulimbuken wa kushindana barabaran watawatanguliza akhera kabla ya mda

Tena sana

Allys na safari za Usiku.. ipo siku taifa litaomboleza kwa uchungu sana. Save this tweet.

Karibia Safari nzima alikuwa amelala, na kama basi imetoka Dar saa mbili kufika Dodoma saa nane ni reasonable kabisa wala hawakuwa kwenye mwendo kasi... Tujalibu kuchunguza kwa fact kwa kukusanya taarifa sahii. Hata huyu ametupa taarifa sahii ya muda wa basi kufika dom from Dar.

Uzembe ni uzembe tu hata iwe mchana

wakati mwingine ukiangalia hata ajari za pikipiki abiria hawezi mzuia bodaboda kuendesha kwa tahadhiri , tusiwabebeshe mzigo mkubwa traffic kuzuia ajari tuanze sisi abiria , tukiona haelewi dreva Kuna namba za kutoa taarifa lkn taarifa hazitolewi, tubadilike , uciku mchana si shd

Abiria tunachangia uzembe wa madereka

Watanzania wengi hawana jeuri ya kumkemea dereva apunguze mwendo🙄. Wanachofanya wao huwa wanamuomba mungu🤔 wafike salama. Huyo ndo mswahili katika uswahili wake hadi kwenye uhai wake, mwisho wanasema mapenzi ya mungu🤐

Report ya Latra mwendo mkubwa wa safari ilikiwa ni Speed ya 86km/hr.,huo mwendo mkali unaozungumzwa hapa ni ngapi.?☹️

@officialDrHerry Kwani na ile ya ester luxury sijui ilikua usiku?
