Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Script haikukaririwa vizuri eeh. Director hakutoa maelezo vizuri studio. Amefeli. Mnatuchanganya sana waombolezaji. Tunaelewa lakini. Acheni hii tabia. Anyways, tuliosikia neno “FUTA” tukutane Mikocheni, msibani usiku huu.
254,745 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Kila jambo martin mnataka kulibeba kama agenda..!

Unataka tubebe agenda za matako yako?

Futaa, au hajafariki!?

Umeshangazwa? Umeshangazwa na nini?

Kuteleza kufanya nini? Nani ameteleza? Ameteleza katika nini? Ameangukia wapi? Mambo ya kibinadamu ni kama yapi? Unazungumzia nini?

Hata inshu ndogo kama hiyo ya kukosea kibadam ni deal ya kisiasa sasa aiseee kazi kweli kweli

Amekosea nini? Hebu tuelee makosa yake…

Huu ndo msiba mkubwa wa halaiki unaoenda kutokea soon! Wachache wataelewa

Apumzike kwa Amani.Mnaweza kumlaumu MMM kwa lugha kali but mnatakiwa kuangalia ikulu kama taasisi ndiyo mtaona mantiki yake.Hii siyo ngojera ni taarifa iliotakiwa iandaliwe na watu wengi.Kwanini iwe na kosa kama hili?

Huu ni upuuzi, haiwezekani taarifa za ikulu Ziwe hivi bila kuhakikiwa. Hiyo tarehe mbili ya mazishi ndo ilikosewa, na inakuwaje taarifa za ikulu kwenda public Tena ikisomwa na Rais kabisa ikawa haijahakikiwa? Huu ni upuuzi , hatuko serious hivi, tunaweza kuwa serious Katika lipi.
