Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

36,429 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Joe boy's profile picture
Joe boy1 year ago

Kwenye ulimwengu ambayo mtu kama Doto magari , mwijaku,baba levo,na akina mwaisa wanaonekana wa maana kuliko mkulima aliyevuna magunia 1000kule katavi, ulimwengu amabayo viongoz wa nchi wanajali wakata mauno kuliko wakulima au madktar au wabunifu , matrix imekaa kipuuz sana

Kilimo Heritage Farms & Co Ltd 🕊️'s profile picture
Kilimo Heritage Farms & Co Ltd 🕊️1 year ago

I wish viongozi wote wa kidini wangekuwa na hekima ya Baba huyu. You can tell holiness is talking in him.

𝐀𝐑𝐍𝐎𝐋𝐃 𝐄𝐋𝐈𝐊𝐔𝐍𝐃𝐀's profile picture
𝐀𝐑𝐍𝐎𝐋𝐃 𝐄𝐋𝐈𝐊𝐔𝐍𝐃𝐀1 year ago

Bro, Inteligence is at risk in Tz. When ignorance becomes the norm in a society, intelligence is often mistaken for foolishness. In a country where the majority lack critical thinking, those who question, analyze, and innovate may appear foolish—not because they are wrong.

Mwananchi's profile picture
Mwananchi1 year ago

Hii Ni Kweli Na Inawezekana Kwa Jamii Ya Watu Wapuuzi Jamii Ikiwa Ni Ya Watu Wapuuzi Basi Kila Mpuuzi Ataonekana Ni Mtu Wa Maana Maana Yake Ikiwa Wapuuzi Ndiyo Wanaonekana Ni Watu Wa Maana Basi Jamii Hiyo Ni Ya Watu Wapuuzi

Mwananchi's profile picture
Mwananchi1 year ago

Katika Jamii Ya Watu Waerevu Haiwezekani Kwa Mtu Mpuuzi Kuwa Ni Mtu Wa Maana Katika Jamii Hiyo Mpuuzi Katika Jamii Ya Watu Waerevu Atabaki Kuwa Ni Mtu Mpuuzi Tu

dechimavasco haonga's profile picture
dechimavasco haonga1 year ago

Watu wapuuzi wanapendwa na watawala

TheDarkNightZombie's profile picture
TheDarkNightZombie1 year ago

Mwijaku na Baba Levo

Idrisa Abas's profile picture
Idrisa Abas1 year ago

Doto magari ni wamaana kwa sasa kuliko huyuu

PSPA_Pundit's profile picture
PSPA_Pundit1 year ago

NI A WORLWIDE PROBLEM, I BELIEVE WANAOMUABUDU SHETANI (WATU HAWA WAPO{JEWS,ILLUMINATI})NDIO WANAOWEZESHA HII "DEGENERACY"-(KUWEZESHA UHARIBIFU WA UWEZO WA KUFIKIRI,NGUVU ZA MWILI NA MAADILI KWA KUWEZESHA NA KUHIMIZA UJINGA,USHOGA,USAGAJI,NGONO,VITA,UPOTOSHAJI). NI MPANGO KAZI

Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰's profile picture
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰1 year ago

Hyu sheikh Nampendaga sana kuna siku nilimsikiliza akishusha nondo pale chuo cha Mu morogoro🫡

Related Videos

Somalien Yhdysvaltain PR-kiertue jatkuu. Trump otti kantaa porukkaan. Somalialainen Abdiwahab Sheikh Abdisamad antoi Trumpille "lyhyen mutta välttämättömän historianopetuksen" argumentaatiovirheitä apunaan käyttäen. Abdiwahab Sheikh Abdisamadin mukaan "Yhdysvallat on noin 240 vuotta vanha, mutta Somalian sivilisaatio ulottuu yli 2 000 vuoden taakse. Kauan ennen kuin Kristoffer Kolumbus ylitti Atlantin, Somalian kaupungit olivat kukoistavia kaupan, kulttuurin, tieteen ja merivallan keskuksia". Abdiwahab Sheikh Abdisamad jatkoi "Mogadishu itsessään on yli 550 vuotta vanhempi kuin Yhdysvallat, joka oli aikoinaan yksi Intian valtameren suurista kaupallisista keskuksista". Eikä tuossa vielä kaikki. Abdiwahab Sheikh Abdisamad: "Historia osoittaa, että imperiumit nousevat, kaatuvat ja muuttuvat, mutta syvät juuret omaavat kansakunnat kestävät". Abdiwahab Sheikh Abdisamadin mukaan Somalian tilanne on tietysti Jenkkien ja sen liittolaisten vika, koska ovat pitäneet "Somalian heikkona, jakautuneena ja kyvyttömänä rakentamaan täyttä potentiaaliaan uudelleen". On sanomatta selvää, että Abdiwahab Sheikh Abdisamadin kommentit herättivät X:ssä paljon sanomista ja Abdiwahab Sheikh Abdisamad saikin kuulla erilaisia näkemyksiä, jotka tuskin olivat Abdiwahab Sheikh Abdisamadin mieleen. Mutta Abdiwahab Sheikh Abdisamadi on oikeassa. Vanhimmat merkit parasiiteista ulottuvat arkeaanikaudelle yli 3 miljardin vuoden päähän. Siten, jos heräisit kuolostasi 1000 vuoden kuluttua ja ihmiskunta olisi yhä elossa, niin jos matkaisit tuon hetkiseen taloudelliseen keskukseen, löytäisit 100%:lla varmuudella somalit ja Malmin mustalaiset sieltä. Abdiwahab Sheikh Abdisamadi kertoo mikä on Abdiwahab Sheikh Abdisamadin näkemys:

adele kottarainen

13,536 views • 8 months ago