Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

23,109 views • 1 year ago •via X (Twitter)

12 Comments

Mangi Wa Kichagga's profile picture
Mangi Wa Kichagga1 year ago

EKU Ilikua Na Wiki Moja Tu Barabarani Leo Hapa Moshi "Esther Luxury" Ameimaliza Pamoja Na Watu Wote Watatu Waliokua Ndani Yake😒

jasusi2020's profile picture
jasusi20201 year ago

Madereva wa mabasi huwa ni mafala sana pale wanapo overtake. Huwa sijui wanajiona nani na magari yao hayo yakiwa speed stability pale inapotokea risk huwa ni ndogo sana kutokana na muundo wake. Main reason wanashindwa kabisa kutimia vyema uwiano wa uzito kwenye boot za mizigo

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

Akwii_ Ze_ Maasai's profile picture
Akwii_ Ze_ Maasai1 year ago

Mbona hiyo rav4 nyuma haijaumia?

Mangi Wa Kichagga's profile picture
Mangi Wa Kichagga1 year ago

Angalia Iyo Spair Tairi Ina mchubuko kwa Pembeni

Casa.'s profile picture
Casa.1 year ago

Kwa maelezo ya shuhuda inaonyesha makosa au papara za mwingine barabarani zinagharimu maisha ya wengine. Daaah!!!

Vituko vya Chepe's profile picture
Vituko vya Chepe1 year ago

Hawa madereva wa mabus huwa wakiona gar ndogo barabarani wanaona ni haki yao kupishwa hata kama wapo upande ambao siyo sahihi.

mkapa's profile picture
mkapa1 year ago

Duh kwhy sababu ni kidia one Ndo kamuuzia msala mwenzie

Mangi Wa Kichagga's profile picture
Mangi Wa Kichagga1 year ago

Ndio

FAZA HOUSE's profile picture
FAZA HOUSE1 year ago

Daaah madereva mabasi inatakiwa wakisababisha ajali wapigwe sana Maana ndo wanaosababisha ajali kila leo

Florian Samwel's profile picture
Florian Samwel1 year ago

Wewe shududa mwongo hiyo Rava 4 mbona spare tairi haijaguswa hapo iko sawa tu

Mnama's profile picture
Mnama1 year ago

Kwa iyo kichwa kaondoka nacho

Related Videos