Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Sijawahi hata kuongea..

35,259 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 12

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Katika kipindi cha Funguka Na Reytox , Huyu dada kasema katika maisha yake kuna vitu ambavyo ameshawahi kufanya na anashukuru mungu ametoka huko.. Ikiwemo ni kuwa Tom boy, Ambapo wanaume walimfanya vibaya kutokana na Tabia hiyo.. Msikilize... Video kwa Comments 👇

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Watu wanatapeliwa sana. Sasa leo @UoIlegalAid watakuwa na Space inayoelezea madhara ya Ponzi schemes Tanzania na watu wanavyoibiwa katika programu kama Kylanda na nyingine.. Usikose, Muda ni saa 2 usiku. Wafollow na weka reminder ya Space mwenye account yao.

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

wanna hear a new song?

Фото профиля M I D D L E
M I D D L E1 год назад

Wanaume walifanya kutimiza majukumu yao yeye analia😂

Фото профиля CaeJay🇿🇦🎯
CaeJay🇿🇦🎯1 год назад

Tommy Boy hata aweje hawezi kuwa Mwanaume hapo muwekeni sawa, ..... Alafu Nature tuuu Wanaume huwa hutuvutiwi na Mtu wa jinsia yoyote yule anayeisaliti Jinsia halisi yake ...

Фото профиля Mtimkavu
Mtimkavu1 год назад

Huyu bado anasagana Kigamboni huku na kundi lake hilo la lesbians.

Фото профиля The One 
The One 1 год назад

Kwa kupitia maoni ya watu kwenye chapisho hili, utagundua kuwa kama jamii ya kitanzania tuna mengi ya kufanya/ kujifunza ili kuboresha maadili yetu. Kubakwa ni tendo kwa nguvu bila ridhaa lakini bado tunamjadili mtu kwa namna tumuonavyo leo.

Фото профиля makoba xy
makoba xy1 год назад

Wakubake sawasawa... mama samia ndio atakusaidia

Фото профиля ANko𝕏
ANko𝕏1 год назад

Mashetani na hao hao aliokutana nao baada ya kujifanya na yeye ni Shetani. Pumbav

Фото профиля Liungwana lenu
Liungwana lenu1 год назад

Sijaelewa... alitolewa bikra yake mara yakwanza Afu akaja kutolewa tena bikra kwa kubaka.? So bikra huwa mnazo mbili nyie TOM BOYS..?

Фото профиля LAJU 🐐
LAJU 🐐1 год назад

😂😂😂😂 eti bikra ya kwanza alafu tena bikra ya pili 😅😅 sema tu mara ya pili nilifilwa usilete habari za bikra mbili, bikra ipo moja tu 😂 huko kwengine ulitolewa malinda

Фото профиля Peter Subi
Peter Subi1 год назад

ukijigeuza mwanaume ndo unashenyentwa mlango wa pili.

Похожие видео