Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

Sijawahi hata kuongea..

35,259 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

12 Yorum

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Katika kipindi cha Funguka Na Reytox , Huyu dada kasema katika maisha yake kuna vitu ambavyo ameshawahi kufanya na anashukuru mungu ametoka huko.. Ikiwemo ni kuwa Tom boy, Ambapo wanaume walimfanya vibaya kutokana na Tabia hiyo.. Msikilize... Video kwa Comments 👇

Latto 𝕏 profil fotoğrafı
Latto 𝕏1 yıl önce

Watu wanatapeliwa sana. Sasa leo @UoIlegalAid watakuwa na Space inayoelezea madhara ya Ponzi schemes Tanzania na watu wanavyoibiwa katika programu kama Kylanda na nyingine.. Usikose, Muda ni saa 2 usiku. Wafollow na weka reminder ya Space mwenye account yao.

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

wanna hear a new song?

M I D D L E profil fotoğrafı
M I D D L E1 yıl önce

Wanaume walifanya kutimiza majukumu yao yeye analia😂

CaeJay🇿🇦🎯 profil fotoğrafı
CaeJay🇿🇦🎯1 yıl önce

Tommy Boy hata aweje hawezi kuwa Mwanaume hapo muwekeni sawa, ..... Alafu Nature tuuu Wanaume huwa hutuvutiwi na Mtu wa jinsia yoyote yule anayeisaliti Jinsia halisi yake ...

Mtimkavu profil fotoğrafı
Mtimkavu1 yıl önce

Huyu bado anasagana Kigamboni huku na kundi lake hilo la lesbians.

The One  profil fotoğrafı
The One 1 yıl önce

Kwa kupitia maoni ya watu kwenye chapisho hili, utagundua kuwa kama jamii ya kitanzania tuna mengi ya kufanya/ kujifunza ili kuboresha maadili yetu. Kubakwa ni tendo kwa nguvu bila ridhaa lakini bado tunamjadili mtu kwa namna tumuonavyo leo.

makoba xy profil fotoğrafı
makoba xy1 yıl önce

Wakubake sawasawa... mama samia ndio atakusaidia

ANko𝕏 profil fotoğrafı
ANko𝕏1 yıl önce

Mashetani na hao hao aliokutana nao baada ya kujifanya na yeye ni Shetani. Pumbav

Liungwana lenu profil fotoğrafı
Liungwana lenu1 yıl önce

Sijaelewa... alitolewa bikra yake mara yakwanza Afu akaja kutolewa tena bikra kwa kubaka.? So bikra huwa mnazo mbili nyie TOM BOYS..?

LAJU 🐐 profil fotoğrafı
LAJU 🐐1 yıl önce

😂😂😂😂 eti bikra ya kwanza alafu tena bikra ya pili 😅😅 sema tu mara ya pili nilifilwa usilete habari za bikra mbili, bikra ipo moja tu 😂 huko kwengine ulitolewa malinda

Peter Subi profil fotoğrafı
Peter Subi1 yıl önce

ukijigeuza mwanaume ndo unashenyentwa mlango wa pili.

Benzer Videolar