ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Sijui hata nilitaka KUSEMA NINI๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

50,508 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Lee Roy ็š„ๅคดๅƒ
Lee Roy2 ๅนดๅ‰

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜€ ila tumefika kubaya sana! Janabi aanze sasa kuongelea vyakula vinavyosaidia afya ya akili

Peter Madeleka ็š„ๅคดๅƒ
Peter Madeleka2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mfuasi wa TAL ็š„ๅคดๅƒ
Mfuasi wa TAL2 ๅนดๅ‰

Kadogo kake Zumaradi kanampanga mshkaji๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hizi mishe mm huwa nazidharau sana za kuanza kutupanga eti nimemwona Yesu sijui mungu kanituma.

Peter Madeleka ็š„ๅคดๅƒ
Peter Madeleka2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Julius Marwa ็š„ๅคดๅƒ
Julius Marwa2 ๅนดๅ‰

Ila haya yote ni kuchelewa kurudi kwa mwana wa mungu watu waneanza kufanya Yao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

Peter Madeleka ็š„ๅคดๅƒ
Peter Madeleka2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sadik Adam Sadik Attorney ็š„ๅคดๅƒ
Sadik Adam Sadik Attorney2 ๅนดๅ‰

Sema huyu jamaa anaemuhoji kiboko sana, ningekuwa mimi hapo ningesahaangua kicheko cha hatari ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐‹๐ฎ๐ญ๐ก๐ž๐ซ ๐€๐ค๐ฒ๐จ๐จ ็š„ๅคดๅƒ
๐‹๐ฎ๐ญ๐ก๐ž๐ซ ๐€๐ค๐ฒ๐จ๐จ2 ๅนดๅ‰

Konyagi mwitu sio nzuri!

Twisenge Nyamtezi ็š„ๅคดๅƒ
Twisenge Nyamtezi2 ๅนดๅ‰

Kwahyo Nyerere amekuwa malaika alivo fika mbinguni ๐Ÿ˜ na Tanzania ni nchi yake Huyu mwanamke asaidiwe apate ajira aleee watoto wake tu maana ata changanyikiwa

Kijukuu cha mfalme. ็š„ๅคดๅƒ
Kijukuu cha mfalme.2 ๅนดๅ‰

Unakutana na MUNGU anakupa kazi ya kuikomboa TZ na ili umwamini ni MUNGU anamleta na Nyerere kama shaidi wa MUNGU ๐Ÿƒ Jamani content hapo ni m subscribe hii madea mpya au muipa views wakutosha.

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘