Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

46,372 views โ€ข 3 months ago โ€ขvia X (Twitter)

9 Comments

son's profile picture
son3 months ago

Daah hii ndio inauma zaidi jamaa kawazidi kila kitu, Akili, uwezo wa kufanya siasa, kujenga hoja, uelewa wa vitu na AURA pia ๐Ÿ˜…

Manofpeople's profile picture
Manofpeople3 months ago

Dharau ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ulimwengu Nyota's profile picture
Ulimwengu Nyota3 months ago

Dogo la mzenji hiloooo

Abdullaziz's profile picture
Abdullaziz3 months ago

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

CyriloLeo's profile picture
CyriloLeo3 months ago

Watauwana hawa

Jean's profile picture
Jean3 months ago

๐Ÿ˜…

WHO ARE YOU's profile picture
WHO ARE YOU3 months ago

Watu mna delusions mbaya sana

TANZANIA YETU's profile picture
TANZANIA YETU3 months ago

#SamiaKaziniUrusi TanzaniaInaSongaMbele

Lidoda's profile picture
Lidoda3 months ago

Dongo limekaa kitaalamu sana!

Related Videos

Huyu ni Simai Mohamed Said Mbuge wa Jimbo la Tunguun (Zanzibar) Wasilisho la mbunge huyu leo hii akichangia bajeti ya wizara ya fedha, limebainisha dhahiri ndani ya serikali kuna msigano mkubwa. Mbunge huyu alitoka kabisa nje ya mada kuchangia hoja iliyokuwepo mezani na kuanza kumshambulia mtu anayedai yupo ndani ya serikali kwa kumuita Yuda Kwa mujibu wa video hii, Mbuge huyu anamtaja Yuda kwa sifa zifuatazo 1. Anatumia vibaya nafasi ya kuaminika na rais kumsaliti 2. Mtu huyo amefitini watu ambao walikuwa wanakaa siti za mbele bungeni (mawaziri) na sasa wako backbench. Amefitini sana wafanyabiashara na kupotezea wengi ndoto zao za kisiasa. 3. Mtu huyo amekuwa akilitumia kanisa kuifitini serikali Hadi hapa nilikuwa nimetatizika sana kumjua mtu wenye wasifu hapo juu. Lakini mbunge huyu akanirahisishia kazi alipoongeza kuwa 4. Yuda anajidai alikuwa anapendwa na hayati Magufuli wakati enzi za utawala wake alimtupa mbali huko nje ya nchi. Hili halikuwa tena fumbo kwangu. Ni hivi karibuni, katika msiba wa mama mzazi wa hayati rais Magufuli, John Nchimbi, Makamu wa rais, amenukuliwa akielezea jinsi alivyokuwa karibu na hayati Magufuli wakiitana watani. Jinsi alivyokuwa akichukua pipi za Magufuli kwa kuwa hakuwa akila pipi, jinsi alivyotaka kumteua ubunge kupitia nafasi 10 anazopewa rais, na hadi jinsi alivyomteua balozi japo alishamwambia nia yake ya kutaka kupumzika. Nchimbi katika kutaka kuthibitisha hili, akaomba wasaidizi wake wamletee simu yenye ujumbe aliotumiwa na Magufuli ambao ameutunza mpaka leo na aliuonyesha kwa familia yake yote. Kwa hiyo, mbunge huyu Mzanzibari ameshaanza kutupa code kuwa kuna kutoaminiana ndani ya viongozi wa juu wa serikali. Nachelea kusema mbunge huyu hakuingea haya kwa bahati mbaya bali imetokana na vikao vilivyofanyika sehemu na kuaminishana haya aliyoyaongea leo, na ametumwa kuyawasilisha. Ujumbe mwingine unatumwa hapa ni vita dhidi ya kanisa ambalo halijatajwa. Kama alimaanisha kanisa la Nchimbi, basi kuna vita visivyo vya wazi kati ya watu fulani ndani ya serikali na Kanisa Katoliki. End of evening rant

Fortunatus Buyobe

48,054 views โ€ข 3 months ago