Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Soon ataanza kuomba michango ya dialysis.

220,008 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля 🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿1 год назад

Mbona kama hii inamuhusu pia yule jamaa wetu😅😀

Фото профиля AdvancingDialysis.org
AdvancingDialysis.org1 год назад

See the data: PD could be a better approach for unplanned, new-to-dialysis patients compared to in-center hemodialysis. // #PeritonealDialysis #QualityofLife #Hemodialysis

Фото профиля Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊1 год назад

Vijana tuepuke Ulevi kupita kiasi, na anasa zisizo na faida zinaweza kukuharibia maisha.

Фото профиля KIDUKU
KIDUKU1 год назад

Hizi Pombe Zinawaharibu Sana Bodaboda Wanaziweka Mfukoni Wanakunywa Kama Maji. Tulishuhudia Pombe Za Kwenye Vikaratasi (VIROBA) Zilivyomaliza Vijana Wengi Kabla Hazijapigwa Marufuku. Sasa Vijana Wamehamia Kwenye SMARTGINE, DOUBLE KICK, SUNGURA, Akiwa Na Buku Mbili Analewa Chakari

Фото профиля SafariMevi
SafariMevi1 год назад

Umeona hii

Фото профиля Napoleon Jj
Napoleon Jj1 год назад

Youth on crisis shda ni pale ndugu watakapo uza mali kwa ajili ya ini zake kufa hyo pombe kali ina kmblia kuchoma ini faster.. umaskini auwezi isha upo na kagari kako umenunua una kuta ndgu kama hyu yupo hospital michango ina pgshwa arafu ww una sengenywa uuze gari kumsaidia

Фото профиля Fred
Fred1 год назад

Hapo mama yake alijitahidi asinywe pombe yoyote miezi 9,Saa hizo fadhila anazolipwa ndiyo hizo😂

Фото профиля BENNY UNITED 👹
BENNY UNITED 👹1 год назад

Sikuhizi kila kitu kimegeuka content.🚮

Фото профиля Usinune Basi
Usinune Basi1 год назад

Mwenyewe anajiona mjanja mpe miaka 3 mbele aendelee kwa style hii halafu aje kutupa matokeo yake

Фото профиля BöBAli{À.M.Š.B.Ń}🇵🇸
BöBAli{À.M.Š.B.Ń}🇵🇸1 год назад

Mikocheni A miaka ya nyuma sana kipindi nasoma, Bar ya Stand Chama pale ndio imefunguliwa tulizika raia 2 kwenye mashindano ya kunywa Value.

Фото профиля MALOPA Snr ✍️
MALOPA Snr ✍️1 год назад

Picha linaanza amezeeka tayari.

Похожие видео

Tofauti na mitazamo ya baadhi ya wanachama wa CCM na wachambuzi wa siasa waliokuwa wakidai kuwa CHADEMA imepoteza mvuto na inaelekea ukingoni mwa siasa za Tanzania, ziara ya viongozi wake wakuu katika mikoa ya Mbeya na Njombe imeonesha picha tofauti baada ya maelfu ya wananchi kujitokeza katika mikutano ya hadhara iliyofanyika katika maeneo mbalimbali ya mikoa hiyo. Ziara hiyo inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara John Heche pamoja na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Zanzibar, imevutia umati mkubwa wa wananchi waliofurika katika viwanja vya mikutano tangu saa kadhaa kabla ya viongozi hao kuwasili. Katika baadhi ya maeneo, wananchi walionekana wakisongamana kandokando ya barabara na viwanja vya mikutano ili kupata nafasi ya kusikiliza ujumbe wa viongozi hao. Mbali na mahudhurio makubwa, jambo lililoibua mjadala ni mwitikio wa wananchi katika uchangishaji wa fedha za chama kupitia kampeni ya “Tone Tone”, mamia ya wananchi wakionekana kujitokeza kwa hiari kutoa michango yao, huku wengine wakisukumana kuelekea jukwaani ili kukabidhi michango yao mbele ya viongozi wa chama hicho. Baadhi ya wananchi waliozungumza baada ya mikutano hiyo walisema wamehamasishwa na ujumbe wa viongozi wa CHADEMA kuhusu demokrasia, uwajibikaji na mustakabali wa taifa, hali iliyowafanya waone umuhimu wa kuchangia shughuli za chama. Walisema michango yao, licha ya kuwa midogo kwa baadhi yao, ni ishara ya kuunga mkono harakati wanazoamini kuwa zina manufaa kwa jamii. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanasema mwitikio huo katika mikutano ya Mbeya na Njombe unaonesha kuwa ushindani wa kisiasa nchini unaendelea kuwa hai, huku vyama vya upinzani vikionesha uwezo wa kuhamasisha wananchi na kukusanya rasilimali kupitia michango ya wanachama na wafuasi wao.

Royal Media

14,817 просмотров • 7 дней назад