Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

TAMBALAAAAA JINGINE HILIIIII

25,598 просмотров • 3 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля MR BEN
MR BEN3 лет назад

Jina!?

Фото профиля H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉3 лет назад

Last Resort

Фото профиля Bandari Yangu
Bandari Yangu3 лет назад

Jina

Фото профиля H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉3 лет назад

Last resort

Фото профиля NextGenTalks
NextGenTalks3 лет назад

Duuh,..Mwana anataka akiwashe Mara Eva Huyu Apa.🤣😂🤣😂

Фото профиля Sugar Sucre
Sugar Sucre3 лет назад

Hahaha amna

Фото профиля N G O D A
N G O D A3 лет назад

big mistake he missed his target 🎯

Фото профиля H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉3 лет назад

True

Фото профиля anything
anything3 лет назад

Series au single?

Фото профиля nicodemus zebedayo
nicodemus zebedayo3 лет назад

Hii series walitoaga Season moja tuu yenye episode 13 hawakuwahi kuendelea tena since 2012

Похожие видео

Hii video imejaa ukweli mtupu, kuna mambo watu wanakwepa kuyasema hasa kuhusu hali ya usalama na mauaji ya watanganyika kwa sasa -- Kuna mauaji makubwa sana ya wakristo, makubwa sana -- Kuna viongozi wa dini wakristo wameshambuliwa sana, lakini mtu kama Mwaipopo yuko mtaani, angesema hayo maneno mkristo ingekuwa balaa -- Kuna viongozi wa Dini wakristo usalama wao umeharibika mpaka wamekimbia nchi -- Kuna vijana wengi wa kristo hasa wa kiume wanauwawa kwa kasi sana na hii serikali, VIJANA WA KIUME, sijui kama mnaelewa maana yake nini kwenye ukoo na uzazi hasa kwa tamaduni za kitanzania -- Wazanzibar karibu wote wako upande wa matendo ya Samia, nadhani hata juzi mmeona Jusa, anasema wazanzibar wanapokutana, issue ya Jusa pale ni uzanzibar na udini mtupu, lakini sio kwamba hajui matendo ya Samia sio ya mwanasiasa, ila anachofanya samia kinamfurahisha kama sababu ya kufanana naye uzanzibar na dini sio suala jingine -- Mauji ya October ilikuwa ni zaidi ya uchaguzi ilikuwa ni message, yalifanywa na vikundi kutoka Zanzibar na jeshi la waganda, lakini kikosi kilichochinja sana watu kwa risasi kilitoka Zanzibar, lakini hakuna hata SISIMIZI aligushwa kule Zanzibar kama mnafikiria Samia fanyi haya mambo kwa msukumo wa kidini na Uzanzibar mtakuwa mmepotea sana, Kuita wanaharakati Magaidi ni mwanzo wa damu anayotaka kumwaga, kesi zote anazotengeneza zimelenga kumwaga damu. Kesi aliyempa Lissu ni sababu anataka kumchinja kwa kushinikiza mahakama Watanganyika tuamke, tuko na shida kubwa sana mbele yetu, tuko na vita ya kisiasa lakini pia ya kiroho, hii chinja chinja sio ya kawaida, kushambulia wakristo sio hali ya kawaida, wale Mbwa mwitu wa mwaipopo wengi ni wazanzibar na wamepewa kibali kufanya hayo mambo na Ikulu, Kuna idadi kubwa sana ya Wazanzibar wanakuja Tanganyika kufanya kazi maalumu za Abdul, Hata Walinzi wa Samia kwa sasa wote ni Wazanzibar, IKULU imejaa wazanzibar kwa 85% na Jeshi komandi zake 90% ni wazanzibar kwa malengo yale yale, kutofyeka Watanzania

Think Different

16,614 просмотров • 1 месяц назад

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), John Heche amesema Wajumbe wa Sekretarieti ya zamani ya CHADEMA waliojiondoa kwenye Chama hicho hawajabaguliwa kama wanavyosema bali kilichowaondoa ni nongwa baada ya Mwenyekiti mpya Tundu Lissu kuunda Timu yake ya uongozi na kutowapa nafasi Viongozi hao wa muda mrefu. Akiongea akiwa katika eneo la Nkwenda Wilayani Kyerwa Mkoani Kagera leo May 08,2025, Heche amesema “Hawa Jamaa zangu waliozungumza jana hakuna miongoni mwao amewahi kuwa Kiongozi wa kuchaguliwa kwenye Chama chetu kwenye ngazi yoyote, wamekuwa Makao Makuu ya Chama Wazungu wanasema as long as i can remember kwa miaka zaidi ya 20, sisi tukipigana hapa ruzuku ikipatikana wao wanalipwa, hawajawahi kufanya kazi ya bure, Viongozi wote wanafanya kazi ya kujitolea lakini wao hawajawahi kufanya kazi ya bure” “Umeingia uongozi mpya umechagua Viongozi wengine kwasababu Chama hiki ni kikubwa, hata anapoingia Rais si anaandaa Baraza lake la Mawaziri anaweka jingine, Lissu ameingia ameunda Baraza lake la Mawaziri jipya, imekuwa nongwa” “Ooh Chama hiki kuna ubaguzi, si muliwasikia jana?, tunabaguliwa, unabaguliwaje?, hawasemi , kubaguliwa ni kwamba wao hawajapewa nafasi wamepewa Wana CHADEMA wengine huo eti ndio ubaguzi” “Ooh Chama hiki kinasema no reforms no election kwahiyo sisi hiyo ajenda tunaipinga sio ajenda ya nchi, nani miongoni mwenu hapa Nkwenda ambaye anasema leo tukienda kwenye uchaguzi jinsi ulivyo tunaweza kupata Mbunge au Diwani nani anasema hivyo? “ #MillardAyoUPDATES

millardayo

24,796 просмотров • 1 год назад