Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Tanzania tumefika huku 😂😂

80,309 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Hancy Machemba
Hancy Machemba2 лет назад

Naona alimiss kuoga maji ya mvua tu. Mbona angeweza kukaa sehemu nzuri na wakaongea au kuingia kwenye jengo moja. Piga kiki yako moja matata unakula cheo chap😂😂😂

Фото профиля Think Different
Think Different2 лет назад

Huyu jamaa amefanya utafiti amegundua bila kufanya ujinga ujinga upati uteuzi, anajaribu ku apply , wamuone wampe ka cheo

Фото профиля Mjukuu~Wa~Minja🦁👁️
Mjukuu~Wa~Minja🦁👁️2 лет назад

Huu ndo udhibitisho kua tuna magonjwa ya Akili,sasa nini hii!?

Фото профиля Maguzu Maguzu
Maguzu Maguzu2 лет назад

Akitoka hapo anaingia v8 la serikali anapandisha joto AC faster anatupa hasara ya mafuta ,jamaa analowana makusudi achukuliwe video

Фото профиля Charles Massawe
Charles Massawe2 лет назад

Aisee hatuna viongozi wala mifumo ya kueleweka, sasa bora liende tu, hivi na watawala wanajiona wako sawa tu, this is serious. 😭😭😭🙆‍♂️

Фото профиля Michaelchembu
Michaelchembu2 лет назад

Cheo cha mwenyekiti wa wilaya kinamaana gana yaan yeye ni mwenyekiti kachaguliwa na nan? Msaada tafadhal

Фото профиля JERE100H
JERE100H2 лет назад

Analowa makusudi ionekane anajali

Фото профиля M.D (🅨)
M.D (🅨)2 лет назад

Usanii mtupu!!

Фото профиля Sarwatt
Sarwatt2 лет назад

Uchaguzi umekaribua watu lazima. Waajionyeahe wanafanya kz

Фото профиля Katuba ❤⚽️
Katuba ❤⚽️2 лет назад

Sasa kulikuwa na haja gani ya kunyeshewa mvua ilhali sehemu ya kujikinga ilikuwepo kubwa tu... Haya si maigizo?!

Похожие видео