Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Tanzania tumefika huku 😂😂
80,309 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Naona alimiss kuoga maji ya mvua tu. Mbona angeweza kukaa sehemu nzuri na wakaongea au kuingia kwenye jengo moja. Piga kiki yako moja matata unakula cheo chap😂😂😂

Huyu jamaa amefanya utafiti amegundua bila kufanya ujinga ujinga upati uteuzi, anajaribu ku apply , wamuone wampe ka cheo

Huu ndo udhibitisho kua tuna magonjwa ya Akili,sasa nini hii!?

Akitoka hapo anaingia v8 la serikali anapandisha joto AC faster anatupa hasara ya mafuta ,jamaa analowana makusudi achukuliwe video

Aisee hatuna viongozi wala mifumo ya kueleweka, sasa bora liende tu, hivi na watawala wanajiona wako sawa tu, this is serious. 😭😭😭🙆♂️

Cheo cha mwenyekiti wa wilaya kinamaana gana yaan yeye ni mwenyekiti kachaguliwa na nan? Msaada tafadhal

Analowa makusudi ionekane anajali

Usanii mtupu!!

Uchaguzi umekaribua watu lazima. Waajionyeahe wanafanya kz

Sasa kulikuwa na haja gani ya kunyeshewa mvua ilhali sehemu ya kujikinga ilikuwepo kubwa tu... Haya si maigizo?!
