Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
They really cooked this fool @honmusiria 😂😂😂
144,159 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

shame on you .wacha kusumbua maskini juu uko na pesa.

Siku moja hawa wamama watapiga huyu kijana

'Ata hao magoons ni mabwana zetu'..... Soft soft blackmail hapa na pale.😂

Huyu ukikanyaga mali yake utaona moto

One day, the so-called goons will turn against their sponsors.

Io story yao na goons ilibackfire proper sasa kunahaja gani ya kumwambia akuje na goons bomboclat

Lakini @HonMosiria si kuna kazi nyingi unaweza fanya ya environment Kama ku-unblock sewer lines huko gikomba na kutengeneza flooding roads zenye ziko town? After maandamano kazi ni nyingi sana! Harassing mama Kama Huyu na unaona vizuri she’s a hand to mouth earner? Fuck you

Huyo hadi ametwerk anafaa kuwekewa za chai wallahi. 😂😂😂

As much as i despise this current government, hawkers are really a nuisance in town , they occupy pavements and pathways leading to overcrowding at some places , Mnafinyana kwa barabara na ni watu wameeka vitu kando hadi hamwezi puta na amani

Kila mtu amechoka hii Kenya. Ile hasira iko huku wueh
