Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
#TIN TIN NAMBA HAIUZWI. EPUKA MATAPELI!
10,908 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Kitengo cha elimu ya mlipa kodi Tanzania kimepata mtu . Kuna kazi kubwa sana imepigwa Iringa naamini na hapo makao kazi itapigwa

Asanteni sana kwa Kufahamisha.

@TRA Mm nnaomba kuuliza, Niliwahi kupata TIN namba maana nilikuwa(ga) na wazo la kufungua Biashara baadaye nikaaihirisha, 1:👉je, TIN namba hiyo bado inatambulika? 2👉Kuna gharama zozote ambazo nnadaiwa labda kama malimbikizo?

Asante sana Classmate wangu

Je unaweza kufanya application mtandaoni kwaajili ya kupata TIN number

Mhuuuuh hahahahah, umechelewa tajiri kuwajulisha umma🤣🤣🤣🤣

Ila mnazingua sana na vijimasharti sana

TRA Punguzeni urasimu wa TIN kuna mkwamo kwenye kuipata 😀 msiniulize mkwamo upi ila kila mtu TRA anastahili yake ya kujiongezea kipato sijasema mshahara hauwatoshi wafanyakazi wa. TRA wakuwajengea magorofa yenye kuleta maafa mtaani.

Haiuzwi lakini kuipata sasa hiyo ya biashara, kivumbi

TRA kuna kero ambayo mnaijenga kwa wananchi ambayo si rafiki kama sehemu ya huduma kwa mteja mnayotakiwa kuitoa. Kuna hii suala la mteja hasa madereva ambao wanachelewa kurenew leseni zao za udereva kwa sababu mbali mbali za msingi.
