Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Tukifuturu tutatoa tamko

70,725 views • 2 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

😊's profile picture
😊2 years ago

Yuko sahihi, clip ni fupi. Ile dhana ya miili mipya inasadifu miili yenye mvuto, nuru, hadhi ya ushababi na kimo(urefu)

The believer ✊'s profile picture
The believer ✊2 years ago

Ungeweka full clip...ungeelew mantiki yake alimaanisha "Watakaoingia peponi wote watapewa miili mipya, nguvu nk." hivyo peponi hakutakuwa na mtu mfupi kama ilivyo duniani wote watakuwa warefu.

mux venal's profile picture
mux venal2 years ago

Uyo ni shehe wa mchongo Hana akili kwenye khutba zake zote hajawahi kuongea ukweli kutoka kwenye Quran, sio Kila anaevaa kanzu na kofia anaijua dini

shosam23's profile picture
shosam232 years ago

Daaah mbona kama Imekuwa ghafla Sana hii tunaenda wapi Sisi .....mbona Ripoti ya CAG

slum dweller's profile picture
slum dweller2 years ago

😂 😂 Daaah pepo ni ngumu jaman vigezo ni yomi

Meshack's profile picture
Meshack2 years ago

Watu wafupi tukutane kwa tent tutoe maoni😎😎

PESAMBILI's profile picture
PESAMBILI2 years ago

Kaka @joti inatosha tulia don't take it personal wanadamu ndivyo walivyo🤝

WAZEE WA MINYAMA's profile picture
WAZEE WA MINYAMA2 years ago

Hee mbona gaflaa ìvoooo

Sematena's profile picture
Sematena2 years ago

Shekhe ubwabwa huyu

Related Videos