Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Tukifuturu tutatoa tamko

70,725 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля 😊
😊2 лет назад

Yuko sahihi, clip ni fupi. Ile dhana ya miili mipya inasadifu miili yenye mvuto, nuru, hadhi ya ushababi na kimo(urefu)

Фото профиля The believer ✊
The believer ✊2 лет назад

Ungeweka full clip...ungeelew mantiki yake alimaanisha "Watakaoingia peponi wote watapewa miili mipya, nguvu nk." hivyo peponi hakutakuwa na mtu mfupi kama ilivyo duniani wote watakuwa warefu.

Фото профиля mux venal
mux venal2 лет назад

Uyo ni shehe wa mchongo Hana akili kwenye khutba zake zote hajawahi kuongea ukweli kutoka kwenye Quran, sio Kila anaevaa kanzu na kofia anaijua dini

Фото профиля shosam23
shosam232 лет назад

Daaah mbona kama Imekuwa ghafla Sana hii tunaenda wapi Sisi .....mbona Ripoti ya CAG

Фото профиля slum dweller
slum dweller2 лет назад

😂 😂 Daaah pepo ni ngumu jaman vigezo ni yomi

Фото профиля Meshack
Meshack2 лет назад

Watu wafupi tukutane kwa tent tutoe maoni😎😎

Фото профиля PESAMBILI
PESAMBILI2 лет назад

Kaka @joti inatosha tulia don't take it personal wanadamu ndivyo walivyo🤝

Фото профиля WAZEE WA MINYAMA
WAZEE WA MINYAMA2 лет назад

Hee mbona gaflaa ìvoooo

Фото профиля Sematena
Sematena2 лет назад

Shekhe ubwabwa huyu

Похожие видео