正在加载视频...
视频加载失败
Tumachi tax..
9 条评论

Code; Wageni(wachina) wanaingia nchini kama wawekezaji, lakini wanakuja kufanya biashara ndogo ndogo za kawaida ambazo watanzania wakawaida wanatakiwa kuzifanya. Serikali imelala siku ikija kushituka itakua imechelewa tutakua na machinga wengi kuliko wazawa.

Wachina wanauza hadi Vitumbua mtaani

Looking for a new tax return preparer?✅ Want to handle the entire process from your smartphone, computer, or tablet?✅ Reach out today for a free estimate! 😀 [email protected]

Afu nikisubiri Bwana ShuNshwaShin aongeee kichina😅🤣😂

@masoudkipanya mbona Mnatuharibia sis WATAALAM, WAKUU WA SECTOR na WAWEZESHAJI Au mnatataka Tusipate 10% Na Trip za kwenda Azabaijan na Guangzhou Kwa Ajili ya Semina Elekezi Na Kupata Exposure ili tukirudi KAZI IENDELEE ya kuwatumikia WALANCHI? SUBIRINI KWANZA TUNAGAWANA MAJIMBO

." In This world nothing can be said to be certain except death and Taxes" Benjamin Franklin

Mambo ya wachina. Shamba la Bibi

😂😂😂😂😂😂😂😂😂mwekezaji

Binafsi nafurahi kumuona Cza toka enzi za Ruge jamaa anazidi kukua, hakika kwenye tasnia una mtoto saivi Masoud
