Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Ujumbe wenu Kutoka KENYA
13,099 görüntüleme • 2 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Sahihi japo ukweli unauma

Tusamehe Bro .. Ndio tunajaribu kuwatoa watu usingizini Bro ..

Katika nchi za E.A, Tanzania nikubwa kieneo, population yake ni kubwa, imepata Uhuru mapema zaidi, Ina rasilimali nyingi na politically stable, ungetegemea iwe nchi inayoongoza kwa uchumi imara, miundombinu mizuri na maisha Bora zaid kuliko nchi zote za E.A.

Ha ha haaaa Watanzania hatuna akili bali tuna Alikiba music. Mziki ndo nini et? Kazi umbea tu. Jamaa amenena vizuri. CCM imetufanya zezeta, manafiki, wambea tu na wachawi machawa. Vijana tuamke kutoka kwenye hii kaputi

Raia wenye akili wala hatuchekelei ila Hawa wanaiependa ccm ndio wanachekelea coz wao ndio hawaeleweki

😂😂😂😂 msumari huo Watanzania ni wapumbavu wanachojua ni umbea wa Mange na Bongo flavor tu na ndio mtaji wa watawala tuamke .

@Oleshangay You are very right! Sasa sikiza vizuri, ninyi sio mmesoma, hapana mmesomeshwa! Why? Matukio ya maisha ya Kenya ndio imewasomesha! Tanzania tumezoea huruma, hata uhuru hatukupigania, ardhi hatupiganii, ukabila hatupiganii, sasa katiba pia hatupiganii hiyo maana yake hatujasomeshwa

Hili swali naomba atujibie @SuphianJuma anajua sana Cha kuongea juu ya Tanzania ya mamaake

Yuko sahihi

Kaka mwambie tuna vitambi tupu
