Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ukibebwa hivi wewe utafurahiiii?
47,457 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Haki za binadamu zimetushinda tunaanza kuwatetea kuku

Safi sana, nimesomea wanyama, haki za domestic animals hasa wafugwao nazijua, ni utaratibu wangu mara nyingi sana huwa nasimamisha watu, unakuta mtu amebeba kuku kichwa chini miguu juu, aisee sijawahi kuwaacha salama wapumbavu wa aina hii. Hii nimeipenda sana kwa huyu officer.

😀 misala ambayo huwez zania kma itakukuta

will we ever land on Mars?

I like this kuna watu akili zao ziko chini very stupid anadhn hao kuku hawana damu kam yy jinga kbs

Jamaa yupo sahihi ata kana wanaendwa kuchinjwa wanastahiki zao.

Kuku wenyewe wameishahukumiwa kifo wanapenda kichinjwa

Huyu kachero kama anataka kuku hivi

Huyo jamaa yuko Directly vibaya mno, hataki hata mazungumzo kudadeki 🤣🤣🤣

Ingekuwa Ulaya au America huyu angefungwa Jela kwa kosa la "Animal Cruelty"

Moshi ni mji ambao 1. Wanajali usafi wa mazingira 2. Kukata mti bila kibali ni mwiko 3. Mifugo wanawajali sana na ufugaji wa kisasa ni mkubwa hasa ng'ombe, kuku, ngurue sizani kama Kuna mkoa utatuzidi Hivyo tunajali afya ya mazingira kiujumla 👋👋👋

