Loading video...
Video Failed to Load
Ukiniangalia Vibaya Utaniona Tu Vizuri
68,204 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

Huna pesa buana ya kununua hilo gari sema ushapata namna ya kuwakamata vijana Kuna mwanangu pia dalali anavimba na dinga hizi zinauzwa sema yeye ni dalali na ana andika plate namba yake sjajua anatumia bei gan na anafaidika na nn ila huna utajiri wa mumiliki gari la 1.5b kaka 🙌

@TRATanzania

Ww ishi mnyakyusa mwenzangu na sisi kwa kibul atujali ww ni tajir kabisa mana izo ndinga baba

huna baya tajiri ila fanya lolote nipate mkono wa eid tajiri 0717007078 ayubu🙏🙏

We're Flying out now

Tajirii gan huyuu anajieleza elezaaa hv

Nitakuona vizuri kma nikijua kazi unayofanya fara ww

Congratulations 🎉

Sema hii nchi malofa wengi qmmae na jamaa ashalijua hilo. Hv kwa biashara gan ambazo anafanya za kuingiza gar za kifahar kila baada ya mwez au miez miwili. Km siko mwez wa 1 hapa ameanza kuonekana na maybach sasa hv haonekan nayo tena. Wazee shtuken au akili zimeingiliwa.

Kuna mtu ataibiwa leo… they dont care kuweka nailon haiwez kuzidi 40k na hii gari ni ya dodoma
