Loading video...
Video Failed to Load
Ule mpango wa Serikali kuhamia DODOMA uliishia wapi?
63,387 views โข 2 years ago โขvia X (Twitter)
11 Comments

Watanzania, wanalalamika, Baadhi ya Project kubwa alizozianzisha Magufuli, zimegeuka kuwa MAPANGO! Mfano, The MAGUFULI CITY asee majengo yaliyopo huko, ni next level Angalia mwenyewe.... Video kwa Comments๐๐พ

#WADHAMINI TIGO/ZANTEL POST PAID Zungu anaunga vifurushi kwa mtu mmoja mmoja tu huduma inakua tayar ndani ya masaa 24 hadi 48 VIGEZO Tin Namba, kitambulisho chochote, email yako active, namba yako (huna chochote inbox whatsapp) Bila kusahau screenshot ya muamala wako FAIDA ZAKE ~Ukiwa kwa system unaweza lipia packge kidogokidogo hadi ukamilishe ~ Bando unalipia mwenyewe moja kwa moja kwa Kampuni (Tigo) ~ Hakuna mtu utaemtumia hela yako Usalama 100% Kila tarehe 1 unawekewa packge uliyoomba mcheki inbox kwa tayari kuungwa Whatsapp link

No doubt MEKO was nice and nasty

Mbona hayo yamefikia hatua hiyo akiwa ameshaondoka, by 2021 yote yalikuwa ground floor peke yake, baada ya yeye kuondoka ndo yamejengwa kufikia hapo, na ndiyo majengo ya Wizara zote Yako hapo.

Bora hata Magufuli alikuwa anajenga hivi, huyu wa sasa sielewi nyuma wala mbele. Naona nchi kama imesimama vile

Dah angekaa mpk saiv pangekuwa California

Huu mradi umekula pesa nyingi sana. Hata kama mwenye maono alibugi, cha msingi kwasasa uendelezwe. Usiachwe ukaoza. Mifuko ya pensheni itakua imedhohofishiwa hapa na chato airport๐๐ ila Magu๐๐พ๐

hii background song ni ngoma ya nani??

Huu mjiii ๐๐ฝ๐๐ฝ

Kaka hayo majengo Yote Yapo wapi

Samia ameshaufinyia kwa ndani,
