Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Unakuta mimi....
65,577 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

Mtaweza kitu, Muwe mnaongea kwa Masihara, kumbe, Ni Mungu anakutumia malaika wake, Angalia walivyokuwa, wanamshahuri Dida amrudie Mungu..... Video kwa Comments👇

Aisee pokea kila neno lenye kheri pasipo kumtizama anayelileta anafananaje...it seems like waliona what's coming to our beloved sister.

Mungu humtumia mtu yeyote kufikisha ujumbe

Hii ni Interijensia ya hali ya juu sana. Kwenye suala la ulinzi wa nchi/kiroho usipuuzie ujumbe toka kwa yeyote. Upokee utafakari,uchungeze kwa kina then chukua maamuzi makini hakika utakuwa salama.

Machoko ndio malaika.... au ndio malaika wa heri utembelea MOTONI😅

Kwani Hawa ni kina nanii?! Mbona walifanya kazi kubwa hivyoo? Mungu azidi kuwabariki kwakweli. AMEN

Maskini ona amekataa kumjua Mungu. Kwetu sisi wakirsto tuna Imani kwamba Mungu anao uwezo wa kutumia hata mwenda wazimu kupitisha neno lake. Angechukua tu hata sekunde Moja na kumkubali yesu Kristo angeupata uzima wa milele. Mungu msamehe makosaya yake na uiweke roho yake pema.

Kwnn wasingemuhusia kwenye uislam wakalazimisha ukiristo tu kwnn asingetoa mfano wa snura yy ameshikilia uwoya

Kila kitu kinamaana ni vile tu huwa hatuyatafakari

Ukiangalia unataman kucheka kufurahi lkn ukishakumbuka kuwa miongoni mwao mmoja hatupo nae unatamn kutoa chozi kuna haja ss tulobaki tumrudie mungu kifo fumbo kubwa sana u knever know leo au kesho ndo mwsho wako na huijui toba R.I.P dida

Hawa watu kupona ni ngumu sanaa

