Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Vijana wa Dodoma Matopeni.😂😂
136,884 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 11

unalalamika nini sasa wakati dodoma ni ya wagogo na sifa ya wagogo ni ombaomba sijui nataka kusemaje

Sunrise - Morgan Wallen Chopped & Screwed By Sota Black. Listen Here

Sisi wakaka wafupi wa dodoma na tusiovaa vipensi tena tunaishi huku chuo cha hombolo hatuhusiki na tuhuma hizi😃😃😃

😂😂😂huyo sasa haelewi nini hapo, hajapendwa ni kaonwa anajishughulisha

Si anataka wakaka wanaonukia? ndio kunukia kwenyewe huko sasa, akija dereva bajaji na upendo wa kweli ili muanze maisha mnaona kama uchafu aya sasa 😃

bora hata hiyo kuna hii ya wadada anakupa zawadi ya 50k unasema nimepata dem ila baada ya wiki demu anakuja na shida ya 600k .oya wadada saiz wamekuja na hiyo mbinu kubabake huchomoki 🤣🤣🤣🤣

Kumbe ule usemi wa mkuki ni mtamu kwa pig bali ni mchungu kwa binadamu ni kweli, mnavyotufanyiaga wanaume tukianza mahusiano na wa dada ndio hicho ulichokipata mkaka wa Dodoma, ila mi si shangai mkaka wa Dodoma anaendeleza tabia ya Legend matonya ya kuombaomba 😂

Binti mwenyewe mbovu unasaidiwa kwa kuombwa hela unapiga miruzi mingiiii 😁

Women will complain about choices they have made out of either desperation or stupidity, sometimes even both. Unakuwaje serious na mwanaume mnayeshindana kuacha mapaja wazi nje! 😅

Huyu amekutana na vijana wa Dar wakiwa Dodoma,sisi vijana wa Dodoma ni wachapa kazi na hatuna hii tabia,shutuma hizi zipuuzwe 😂😂

@Pastore_Tz @YusuphMwafrica @AmourGingi nyie si miongoni mwa wakaka wa dodoma😂😂😂
