ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

136,898 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Waltz ็š„ๅคดๅƒ
Waltz1 ๅนดๅ‰

unalalamika nini sasa wakati dodoma ni ya wagogo na sifa ya wagogo ni ombaomba sijui nataka kusemaje

Sota Black ็š„ๅคดๅƒ
Sota Black2 ๅนดๅ‰

Sunrise - Morgan Wallen Chopped & Screwed By Sota Black. Listen Here

Abdul Rahman ็š„ๅคดๅƒ
Abdul Rahman1 ๅนดๅ‰

Sisi wakaka wafupi wa dodoma na tusiovaa vipensi tena tunaishi huku chuo cha hombolo hatuhusiki na tuhuma hizi๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Malaika ็š„ๅคดๅƒ
Malaika1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚huyo sasa haelewi nini hapo, hajapendwa ni kaonwa anajishughulisha

Cuthbert Sweetbert ็š„ๅคดๅƒ
Cuthbert Sweetbert1 ๅนดๅ‰

Si anataka wakaka wanaonukia? ndio kunukia kwenyewe huko sasa, akija dereva bajaji na upendo wa kweli ili muanze maisha mnaona kama uchafu aya sasa ๐Ÿ˜ƒ

Md marx ็š„ๅคดๅƒ
Md marx1 ๅนดๅ‰

bora hata hiyo kuna hii ya wadada anakupa zawadi ya 50k unasema nimepata dem ila baada ya wiki demu anakuja na shida ya 600k .oya wadada saiz wamekuja na hiyo mbinu kubabake huchomoki ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Sabas Sebastian Del Piero ็š„ๅคดๅƒ
Sabas Sebastian Del Piero1 ๅนดๅ‰

Kumbe ule usemi wa mkuki ni mtamu kwa pig bali ni mchungu kwa binadamu ni kweli, mnavyotufanyiaga wanaume tukianza mahusiano na wa dada ndio hicho ulichokipata mkaka wa Dodoma, ila mi si shangai mkaka wa Dodoma anaendeleza tabia ya Legend matonya ya kuombaomba ๐Ÿ˜‚

Bro La Mbezi๐Ÿง” ็š„ๅคดๅƒ
Bro La Mbezi๐Ÿง”1 ๅนดๅ‰

Binti mwenyewe mbovu unasaidiwa kwa kuombwa hela unapiga miruzi mingiiii ๐Ÿ˜

John Kyara ๐Ÿ—ฟ ็š„ๅคดๅƒ
John Kyara ๐Ÿ—ฟ1 ๅนดๅ‰

Women will complain about choices they have made out of either desperation or stupidity, sometimes even both. Unakuwaje serious na mwanaume mnayeshindana kuacha mapaja wazi nje! ๐Ÿ˜…

PHONES AND GADGETS ็š„ๅคดๅƒ
PHONES AND GADGETS1 ๅนดๅ‰

Huyu amekutana na vijana wa Dar wakiwa Dodoma,sisi vijana wa Dodoma ni wachapa kazi na hatuna hii tabia,shutuma hizi zipuuzwe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Eng Msaki ็š„ๅคดๅƒ
Eng Msaki1 ๅนดๅ‰

@Pastore_Tz @YusuphMwafrica @AmourGingi nyie si miongoni mwa wakaka wa dodoma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘