Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

28,736 views • 2 years ago •via X (Twitter)

8 Comments

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏2 years ago

Arusha KUMEKUCHA leo na madereva Pikipiki! Huku watu wachomwa moto kwa Kuiba KUKU! Huku wengine wachomwa moto kwa Kupora simu.... Alooooooo....🙆😢😢 Video kwa Comments👇🏾

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏2 years ago

Hawa wamepora Simu Arusha Alooo!!

Nelson Kileo•'s profile picture
Nelson Kileo•2 years ago

Hii habari Global wameiokota na kuweka heading isiyo sawa, hilo tukio ni la leo maeneo ya Kaloleni, nje ya bar maarufu Picnic na hao ni wezi wa simu/tatu mzuka not Kuku. ? 😀

Bahasha Fc aka UTOPOLO.'s profile picture
Bahasha Fc aka UTOPOLO.2 years ago

Mtu kaiba kuku mnamchoma moto?

KINYWA CHA MZEE's profile picture
KINYWA CHA MZEE2 years ago

Walikuwa mirungi nimeona machanjio😁😁

Idrisa Juma's profile picture
Idrisa Juma2 years ago

Hawa wanapora simu kwa kutumia pkpk!. Sasa unatoa habar wameiba kuku

Agael Lucas's profile picture
Agael Lucas2 years ago

Nimecheka machanjio😁

esmart's profile picture
esmart2 years ago

They already raise their hands to surrender , why mna wahukumu hukumu nzito hivyo😞

Related Videos