Loading video...
Video Failed to Load
Waiba kuku!
28,736 views • 2 years ago •via X (Twitter)
8 Comments

Latto 𝕏2 years ago
Arusha KUMEKUCHA leo na madereva Pikipiki! Huku watu wachomwa moto kwa Kuiba KUKU! Huku wengine wachomwa moto kwa Kupora simu.... Alooooooo....🙆😢😢 Video kwa Comments👇🏾

Latto 𝕏2 years ago
Hawa wamepora Simu Arusha Alooo!!

Nelson Kileo•2 years ago
Hii habari Global wameiokota na kuweka heading isiyo sawa, hilo tukio ni la leo maeneo ya Kaloleni, nje ya bar maarufu Picnic na hao ni wezi wa simu/tatu mzuka not Kuku. ? 😀

Bahasha Fc aka UTOPOLO.2 years ago
Mtu kaiba kuku mnamchoma moto?

KINYWA CHA MZEE2 years ago
Walikuwa mirungi nimeona machanjio😁😁

Idrisa Juma2 years ago
Hawa wanapora simu kwa kutumia pkpk!. Sasa unatoa habar wameiba kuku

Agael Lucas2 years ago
Nimecheka machanjio😁

esmart2 years ago
They already raise their hands to surrender , why mna wahukumu hukumu nzito hivyo😞

