Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Waiba kuku!
28,734 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)
Комментарии: 8

Latto 𝕏2 лет назад
Arusha KUMEKUCHA leo na madereva Pikipiki! Huku watu wachomwa moto kwa Kuiba KUKU! Huku wengine wachomwa moto kwa Kupora simu.... Alooooooo....🙆😢😢 Video kwa Comments👇🏾

Latto 𝕏2 лет назад
Hawa wamepora Simu Arusha Alooo!!

Nelson Kileo•2 лет назад
Hii habari Global wameiokota na kuweka heading isiyo sawa, hilo tukio ni la leo maeneo ya Kaloleni, nje ya bar maarufu Picnic na hao ni wezi wa simu/tatu mzuka not Kuku. ? 😀

Bahasha Fc aka UTOPOLO.2 лет назад
Mtu kaiba kuku mnamchoma moto?

KINYWA CHA MZEE2 лет назад
Walikuwa mirungi nimeona machanjio😁😁

Idrisa Juma2 лет назад
Hawa wanapora simu kwa kutumia pkpk!. Sasa unatoa habar wameiba kuku

Agael Lucas2 лет назад
Nimecheka machanjio😁

esmart2 лет назад
They already raise their hands to surrender , why mna wahukumu hukumu nzito hivyo😞

