Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Waliofunga ndio wanaongoza kusema watu ๐
11 Kommentare

Kulikuwa hakuna haja ya kujirekodi kama kweli ni muislamuโฆ Hii ni dhihaka Kwa dini yetuโฆ anabahati yupo Tanganyika! Zanzibar au huko nigeria asinge eleweka ๐ ๐

NEW OFFICIAL COLLABORATION ALERT! Get your PERSONALIZED @Godzilla_Toho Japanese hanko stamps at for yourself, friends and family! #fanco #godzilla #GodzillaMinusOne ๐

Binadamu tunajisahau kama tumeletwa duniani kuishi milele,Allah amuongoze ndugu yetu huyo...

Huezi kuwa umeshiba alafu umseme mtu๐๐๐

Kwani lazima ajirekodi kuonesha hafungi smh

Hata Kama hufungi Bora ukaee kimyaa... Sasa hapo unashindana na nani... Kwani nani kakuambia funga ni ya watu... Ili uwe muislam lazima uikamilishee hii nguzo ya kufunga ni lazima Kama unakula na Tena kwa kujisifuu huwezi ukawa muislam... Au unafunga kwa ajili ya kupata zawadi

Huyu Jamaa kitimoto anakula na alifanya tangazo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ shangwe Sana watu hawa.. wahabi na makundi Yao ya siasa kali hapa Tanzania hawafui dafu maana hamna wanazi wa dini

Ujinga nao mzigo unakupeleka pabaya

Hata Raisi wetu mama Samia anafunga 30, akina mo dewji baharesa gcm nk... Kufunga ni kujitakasa na kupata radhi kwa mola wako.... Siyo zawadi za watu mjinga weeee

Kila siku majigambo tu! Tutakuchoka kama mandonga

Dunia ni njia tuu ya kupita, tusijsahau sana
