正在加载视频...
视频加载失败
Wanaume kuna ujumbe wenu hapa 😂😂🔥🔥
11 条评论

Nikiona video km hizi ndio napata maana kwamba ndoa ni taasisi ..na ndoa ni usenge Yaani inakuaje mtu anapata hela ashindwe kutumia na mume/familia yake mpka hela ya mwanaume ndio itumike hawa watu ni wabinafsi MNO 🫵

Mwanamke akishindwa kusema anajiuza anapitia mlango mwingne wa kuprovide

─── ⋆ ˖ . ݁𝜗𝜚. ݁ ₊ ⋆ ─── ⋆˚.⭒˚. ⋆ Moon River⋆⭒˚.⋆ ⋅˚₊‧ ୨HollyDayle cover୧ ‧₊˚ ⋅

Wanawake wa kisasa wapo direct kwenye kila jambo wao wanachagua mwanaume wa vip wanataka na wao ndio kama hivi anasema yeye milioni tano na jamaa anapata mbili yaani hajasema hata jamaa anapata laki nne yeye milioni tano kuna la kujivunza hapo

Moja ya Sehemu 50/50 huwa hai-apply kwa wanawake ni hii. 🤣

Chaganization 📌 Ukipata mshangazi wakichaga nikawaida sana kujikuta wewe ndio Baba

Ukweli mchungu huu ila ndo ukweli..

Huwa na wambia vijana watafute hela naoneka adui sema wewe

Una provide nn kama huna?

kama ni kwa mke yupo sahhihi

Mmmh! Ngumu kuishi na mwanamke aliyenizidi hela au shule. Muhafidhina mie
