Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Wanayanga wenzangu Msemaji hapa hakuna ๐Ÿ˜‚

40,287 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

10 Comments

Masanja PN๐ŸŒป's profile picture
Masanja PN๐ŸŒป1 year ago

Huyu sio mwanayanga, akili kazitoa wapi ? Pale Yanga wenye akili ni wawili tu

msouthg's profile picture
msouthg1 year ago

Hatuna msemaji kwa kweli .Fact

OG's profile picture
OG1 year ago

Kwaiyo kwa akili zako unakaa unajadili hiyo kauli tena hasa kwa wasemaji wa hizi team .......sasa wew na yeye nani anakua hana akili ebu kueni seriously bhana

Mr.Right's profile picture
Mr.Right1 year ago

TATINZO liliazia kwenye miwani hyo akivua ataongea vnzr follow @AgrinMsuya2

Skymoca_tz's profile picture
Skymoca_tz1 year ago

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Dr mekasi's profile picture
Dr mekasi1 year ago

We jamaa sio Yanga wewe ni Simba shutuka Hakuna means yanga ana akili kama za kwako

Maiti Mtarajiwa.'s profile picture
Maiti Mtarajiwa.1 year ago

Hii imeenda.

goldenboy's profile picture
goldenboy1 year ago

Sema aloanzisha huu mjadala ashajua kuwa ukitaka kwenda mjini useme upande mmoja mwengine utakusapoti tu.

West 54 Outsiders๐Ÿฅค's profile picture
West 54 Outsiders๐Ÿฅค1 year ago

Kamwe akili anazo kwa waliomfuatilia kabla hajawa msemaji Yanga, ila njaa hizi ndo zinawafanya wawehuke. Sahivi wanaongea pumba tu kwa sababu asilimia kubwa ya mashabiki ni viazi na ndo tambo wanapenda kusikia.

hamis_tz's profile picture
hamis_tz1 year ago

Huyu so mwana yanga toto la msimbazi kabisa mitaa ya kariakoo๐Ÿ˜‚

Related Videos