Loading video...
Video Failed to Load
Wangapi Tayari kwa mission ya 5/8/2024? Tuko pamoja
30,704 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

What is the agenda..? Wasije wakawa wanaiga mambo ya jirani.. wakati wao hawajui chochote kuhusu Nchi yao. Wenzao wanajua KATIBA ya Nchi yao, na mifumo yote. Hawa hawajui hata BAJETI ya Nchi ni nini. Na walikuwa wapi wasijadili Bajeti na Finance Bill 2024..?! I don't get it 🙌🏻

nimetambua watanzania wengi ni maiti zilizooza means hazitaki kudai haki zao kwa sababu wamekufa. Uoga hata siku moja hauwezi kuleta mabadiliko.

Unakijua kipigo cha mbwa koko ww

Mwenge ukipita tu tumeisha

Ajenda ni ipi ya kuwapeleka watu barabarani

Hatutaki fujo,pumbavu

Tupo tiya ila wewe na Onesmo Mushi muwe pale mbele sisi tuje nyuma yenu

Mapema sana kuna vitu vinafeli sababu watu hawasomi alama za nyakati,kuna wakati kuna mambo yanamgusa kila mtu.

MAITI, MAITI , MAITI Zimejaa Tanzania haziwezi kuamka kudai haki

Kwenye maandamano sikuungi mkono. Hii mission yenu haitafanikiwa, watu waache kujitafutia maisha waende kujitafutia kifo!!!!?
