Loading video...
Video Failed to Load
Woke up to this ๐ฅฒ๐
115,946 views โข 2 years ago โขvia X (Twitter)
9 Comments

@Paul_Sweezy1 Huyu Mzee alikuwa sawa ktk utendaji ambacho sikukubaliana nae ni issue ya demokrasia na wakosoaji ktk mambo fulani fulani alifeli 100%, kiutendaji Magu nilimkubali shida ni vile hakuheshimu misingi ya Demokrasia tuโ๏ธ

"Wiki 3 watu wasubiri kupata umeme pale na wakati umeshazalishwa" Rest easy Jiwe ๐๏ธ

Once upon a time tulikua na kiongozi Bora sana Rest easy Mr President

Kwa hiyo watenda miujiza wooote hawa walishindwa kufunga hata mwaka mzima hiki chuma kikafufuka?

๐๐๐พ

@ercurry_Tz Huyu mwamba alikua commited sana na maisha ya watu sio hawa wa siku hiz

Tanesco wanachokifanya sasa sio sawa,hamna kitu cha muhimu kama taarifa tena zinazoeleweka,ss hatujakataa mgao,ila mgao unakuwa kama mtu anazima na kuwasha taa ya chooni,no ratiba,no info no sababu za kuwa na mgao ndio maana tunaumia

Kumamakkk hii clip na yanayoendelea unaweza ukalia

Wiki 3 mwendazake aliona ni mbali ila kuna mmama ametoa miezi 6 huku!!
Related Videos
What would you do if you woke up in this spot?!๐ฌ๐ฅฒ๐ฌ
Ikemefuna
1,622,870 views โข 5 months ago
