Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Yesu hakufa....

35,001 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Latto 𝕏
Latto 𝕏1 год назад

Kuwa na Elimu Raha sana, Yani mtu hawezi akakwambia tu kitu, ujafuata bila kukifanyia uchambuzi Yakinifu. Haya, Sikiliza Sheikh anawafundisha wakristo juu ya Dini yao. Sikiliza kwanini Yesu, hafi kwa ajili ya Dhambi za wengine.. Video kwa Comments 👇

Фото профиля Mwawiya Omari
Mwawiya Omari1 год назад

Mwenzenu katoa maandiko ninyi mnatukana bila ya kutoa maandiko mkapingana naye tujitahidi kusoma ili tuwe na uelewa zaid ktk dini zetu tusiwe warithi tu wa dini pasipokutaka kusikiliza ukweli tunaoambiwa

Фото профиля Nyabange
Nyabange1 год назад

Na kama haiwezekani kwa Nini kuwepo na kumfuata/kumwamini mtu mmoja kwa ajili ya kwenda mbinguni. Eg Uislamu wote wanaamini kwa kufuata njia aliyoifuata Mohammad ndo wanawezakwenda mbinguni kwa Nini kila mtu asifuate njia ya kivyakevyake tu.

Фото профиля ASSEY.
ASSEY.1 год назад

@EsirEid Huyo hana elim yoyote ile. Kitabu chake kimemuelekaza. Akae chini afundishwe na walio pewa kitabu mwanzo. Yeye ajadili mambo ya mwilini tu.

Фото профиля Dodi Lakweni
Dodi Lakweni1 год назад

Alafu shehe anachukua vifungu vya biblia bila kujua msingi wake. Ikumbukwe ata ibilisi alimjaribu Yesu kwa kutumia biblia iyo iyo

Фото профиля Eng Ungani
Eng Ungani1 год назад

Mafundisho ya uongo😂😂😂kumb la torati ilikua kabla ya kifo cha Yesu. Utabeba dhambi zako km ukiukataa uokovu. Sheikh ubwabwa kakaririshwa vifungu viwili tena mstari m1 m1 anakuja kuwadanganya wenzake !

Фото профиля Kelvin Marvellous
Kelvin Marvellous1 год назад

Hiyo Yohana 8:21 hajaelewa kabsa YESU alikuwa ana maanisha nin, akitaka maana zaidi aendelee kusoma kuanzia mstari wa 22 na kuendelea ataelewa vizuri

Фото профиля Levy Mkomora
Levy Mkomora1 год назад

Kila mtu ana weza kutafsiri maandika vile unataka..lakini itoshe kusema that was very poor reasoning..na ni wazi huwezi tafsiri andiko kwa mstari mmoja..hua tunawasamehe bure

Фото профиля Kaka
Kaka1 год назад

Kuna mtu unamuangalia umri alioanao unaona kumtukana unamuacha tu

Фото профиля king kinya
king kinya1 год назад

Ana upeo mdogo sana

Фото профиля ASSEY.
ASSEY.1 год назад

@EsirEid Huyu ndio unamsemea kuwa ana akili...

Похожие видео