Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

35,001 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Latto 𝕏's profile picture
Latto 𝕏1 year ago

Kuwa na Elimu Raha sana, Yani mtu hawezi akakwambia tu kitu, ujafuata bila kukifanyia uchambuzi Yakinifu. Haya, Sikiliza Sheikh anawafundisha wakristo juu ya Dini yao. Sikiliza kwanini Yesu, hafi kwa ajili ya Dhambi za wengine.. Video kwa Comments 👇

Mwawiya Omari's profile picture
Mwawiya Omari1 year ago

Mwenzenu katoa maandiko ninyi mnatukana bila ya kutoa maandiko mkapingana naye tujitahidi kusoma ili tuwe na uelewa zaid ktk dini zetu tusiwe warithi tu wa dini pasipokutaka kusikiliza ukweli tunaoambiwa

Nyabange's profile picture
Nyabange1 year ago

Na kama haiwezekani kwa Nini kuwepo na kumfuata/kumwamini mtu mmoja kwa ajili ya kwenda mbinguni. Eg Uislamu wote wanaamini kwa kufuata njia aliyoifuata Mohammad ndo wanawezakwenda mbinguni kwa Nini kila mtu asifuate njia ya kivyakevyake tu.

ASSEY.'s profile picture
ASSEY.1 year ago

@EsirEid Huyo hana elim yoyote ile. Kitabu chake kimemuelekaza. Akae chini afundishwe na walio pewa kitabu mwanzo. Yeye ajadili mambo ya mwilini tu.

Dodi Lakweni's profile picture
Dodi Lakweni1 year ago

Alafu shehe anachukua vifungu vya biblia bila kujua msingi wake. Ikumbukwe ata ibilisi alimjaribu Yesu kwa kutumia biblia iyo iyo

Eng Ungani's profile picture
Eng Ungani1 year ago

Mafundisho ya uongo😂😂😂kumb la torati ilikua kabla ya kifo cha Yesu. Utabeba dhambi zako km ukiukataa uokovu. Sheikh ubwabwa kakaririshwa vifungu viwili tena mstari m1 m1 anakuja kuwadanganya wenzake !

Kelvin Marvellous's profile picture
Kelvin Marvellous1 year ago

Hiyo Yohana 8:21 hajaelewa kabsa YESU alikuwa ana maanisha nin, akitaka maana zaidi aendelee kusoma kuanzia mstari wa 22 na kuendelea ataelewa vizuri

Levy Mkomora's profile picture
Levy Mkomora1 year ago

Kila mtu ana weza kutafsiri maandika vile unataka..lakini itoshe kusema that was very poor reasoning..na ni wazi huwezi tafsiri andiko kwa mstari mmoja..hua tunawasamehe bure

Kaka's profile picture
Kaka1 year ago

Kuna mtu unamuangalia umri alioanao unaona kumtukana unamuacha tu

king kinya's profile picture
king kinya1 year ago

Ana upeo mdogo sana

ASSEY.'s profile picture
ASSEY.1 year ago

@EsirEid Huyu ndio unamsemea kuwa ana akili...

Related Videos