Sensitive content

This media may contain sensitive content.

正在加载视频...

视频加载失败

35,001 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

11 条评论

Latto 𝕏 的头像
Latto 𝕏1 年前

Kuwa na Elimu Raha sana, Yani mtu hawezi akakwambia tu kitu, ujafuata bila kukifanyia uchambuzi Yakinifu. Haya, Sikiliza Sheikh anawafundisha wakristo juu ya Dini yao. Sikiliza kwanini Yesu, hafi kwa ajili ya Dhambi za wengine.. Video kwa Comments 👇

Mwawiya Omari 的头像
Mwawiya Omari1 年前

Mwenzenu katoa maandiko ninyi mnatukana bila ya kutoa maandiko mkapingana naye tujitahidi kusoma ili tuwe na uelewa zaid ktk dini zetu tusiwe warithi tu wa dini pasipokutaka kusikiliza ukweli tunaoambiwa

Nyabange 的头像
Nyabange1 年前

Na kama haiwezekani kwa Nini kuwepo na kumfuata/kumwamini mtu mmoja kwa ajili ya kwenda mbinguni. Eg Uislamu wote wanaamini kwa kufuata njia aliyoifuata Mohammad ndo wanawezakwenda mbinguni kwa Nini kila mtu asifuate njia ya kivyakevyake tu.

ASSEY. 的头像
ASSEY.1 年前

@EsirEid Huyo hana elim yoyote ile. Kitabu chake kimemuelekaza. Akae chini afundishwe na walio pewa kitabu mwanzo. Yeye ajadili mambo ya mwilini tu.

Dodi Lakweni 的头像
Dodi Lakweni1 年前

Alafu shehe anachukua vifungu vya biblia bila kujua msingi wake. Ikumbukwe ata ibilisi alimjaribu Yesu kwa kutumia biblia iyo iyo

Eng Ungani 的头像
Eng Ungani1 年前

Mafundisho ya uongo😂😂😂kumb la torati ilikua kabla ya kifo cha Yesu. Utabeba dhambi zako km ukiukataa uokovu. Sheikh ubwabwa kakaririshwa vifungu viwili tena mstari m1 m1 anakuja kuwadanganya wenzake !

Kelvin Marvellous 的头像
Kelvin Marvellous1 年前

Hiyo Yohana 8:21 hajaelewa kabsa YESU alikuwa ana maanisha nin, akitaka maana zaidi aendelee kusoma kuanzia mstari wa 22 na kuendelea ataelewa vizuri

Levy Mkomora 的头像
Levy Mkomora1 年前

Kila mtu ana weza kutafsiri maandika vile unataka..lakini itoshe kusema that was very poor reasoning..na ni wazi huwezi tafsiri andiko kwa mstari mmoja..hua tunawasamehe bure

Kaka 的头像
Kaka1 年前

Kuna mtu unamuangalia umri alioanao unaona kumtukana unamuacha tu

king kinya 的头像
king kinya1 年前

Ana upeo mdogo sana

ASSEY. 的头像
ASSEY.1 年前

@EsirEid Huyu ndio unamsemea kuwa ana akili...

相关视频