ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐€๐’๐€๐๐“๐„ ๐–๐€๐๐€๐๐‚๐‡๐ˆ๐Ÿ”ฐ๐Ÿซถ๐Ÿฝ #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko

59,141 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Maulambo ็š„ๅคดๅƒ
Maulambo2 ๅนดๅ‰

Kiukweli watu wa Digital wa Yanga hatuwadai ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Mwambalaso_tz๐Ÿ’ฅ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ็š„ๅคดๅƒ
Mwambalaso_tz๐Ÿ’ฅ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ2 ๅนดๅ‰

HATUWADAI VIONGOZI, BENCHI LA UFUNDI NA WACHEZAJI. KILA MTU AFRIKA AMEONA NA DUNIA IMEONA. Next Time Watatueleza Lile Goli Walilipeleka Wapi In Sha Allah ๐Ÿ’š๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ’š

Majengo SS Jamal ็š„ๅคดๅƒ
Majengo SS Jamal2 ๅนดๅ‰

A leading by example Congratulations Wananchi, Proud of you Guys

officialmpili1tz ็š„ๅคดๅƒ
officialmpili1tz2 ๅนดๅ‰

Ili ni jeshi zaidi ya walivyojichukulia mamelod siyo rahisi kuamini lakn ukwel ni kwamba kuna vijana wapambanaji waliovamuwa kujitoa kutoka mioyoni mwao kwasbbu ya team Mungu awabariki sanaaa ata kama siyo iiii leo ya jonzi na simanzi lakn kesho Mungu atatubarik

๐—ก ๐—˜ ๐—š ๐—˜ ๐—Ÿ ๐—ข๐Ÿฆ ็š„ๅคดๅƒ
๐—ก ๐—˜ ๐—š ๐—˜ ๐—Ÿ ๐—ข๐Ÿฆ2 ๅนดๅ‰

Mmeupa mchezo wa mpira wa miguu heshima Nchini Mwaka jana Finals, mwaka huu Quater Finals hakika safari bado mbele yetu hakuna kukata tamaa. ALUTA CONTINUA๐ŸŸก๐ŸŸข

ADAMS ็š„ๅคดๅƒ
ADAMS2 ๅนดๅ‰

Huyu hersi huyu ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œanyway ccm wasije wakamsajili tu tunakazi bado tuna mdai pale jangwani Kuna vitu atukamilishie kwanza ๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช

Jumanne Mousa ็š„ๅคดๅƒ
Jumanne Mousa2 ๅนดๅ‰

Hasira tulizonazo akikatiza kima yeyote mbele atakandwa ipasavyo,binafsi nna hasira na azam

Mudryk Jr ็š„ๅคดๅƒ
Mudryk Jr2 ๅนดๅ‰

Timu ya wananchi ๐Ÿ”ฅ

Dr. Paul ็š„ๅคดๅƒ
Dr. Paul2 ๅนดๅ‰

Mungu ni wetu sote, asiyeshukuru kwa kidogo, hata akipata zaidi hawezi kushukuru. Asante Mungu kwa kila kitu ๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ”ฐ

MZUNGU PORI๐Ÿ’ช ็š„ๅคดๅƒ
MZUNGU PORI๐Ÿ’ช2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘